consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Heshima yenu wakuu,
Naomba kufahamishwa kama NGOs zinalazimika kuwa audited kama yalivyo Makampuni. Pia naomba mwenye Non Governmental Organizations Act, No. 24 of 2002 atuwekee hapa nasi tuisome manake nimejaribu ku google bila mafanikio.
Nawasilisha ombi
Naomba kufahamishwa kama NGOs zinalazimika kuwa audited kama yalivyo Makampuni. Pia naomba mwenye Non Governmental Organizations Act, No. 24 of 2002 atuwekee hapa nasi tuisome manake nimejaribu ku google bila mafanikio.
Nawasilisha ombi