Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,381
- 911,169
Nimezipata habari hizi punde kutoka kwa ITV.......................ya kuwa AU wamemteua Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga kuwa msuluhishi wao wa mgogoro wa uchaguzi wa Uraisi wa ivory Coast..............................
Kwa maoni yangu, AU wamechemsha vibaya sana..................msuluhishi apaswa kuwa hana upande anaouegemea.....................lakin Raila alikwisha pendekeza Gbagbo aondolewe kwa nguvu za kijeshi.............hivyo yamaanisha hamtambui kama ni Raisi wa halali wa nchi hiyo........
Sijui kama Gbagbo atamkubali...................upo uwezekano mkubwa akamkataa..........
Kwa maoni yangu, AU wamechemsha vibaya sana..................msuluhishi apaswa kuwa hana upande anaouegemea.....................lakin Raila alikwisha pendekeza Gbagbo aondolewe kwa nguvu za kijeshi.............hivyo yamaanisha hamtambui kama ni Raisi wa halali wa nchi hiyo........
Sijui kama Gbagbo atamkubali...................upo uwezekano mkubwa akamkataa..........