Kamara kapindua Guinea kelele nyingi tu, hakuna kulala, Myahudi anaangamiza Gaza nyie mnakula na kunywa kama kawaida. What a shame!!
Hapa mngekuja na tamko la pamoja na kusimamisha uhusiano wa nchi zote za Afrika na Uyahudi!!
Bahati kama hiyo haiji mara mbili, ngoja tuele kupata michemsho yenu mipya. Lakini, hili la Guinea kwisha mimi nadhani ni AU ingejitoa Guinea, na sio Guinea kutolewa nje ya AU! Hawaju kutumia milango sahihi, bali wameanza kupitia madirishani vipi nyie!
Hapa mngekuja na tamko la pamoja na kusimamisha uhusiano wa nchi zote za Afrika na Uyahudi!!
Bahati kama hiyo haiji mara mbili, ngoja tuele kupata michemsho yenu mipya. Lakini, hili la Guinea kwisha mimi nadhani ni AU ingejitoa Guinea, na sio Guinea kutolewa nje ya AU! Hawaju kutumia milango sahihi, bali wameanza kupitia madirishani vipi nyie!