Mr. Teacher
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 330
- 88
Viongozi wetu kiafrika inaonesha ni jinsi gani hawana meno kabisaaaaa!!! yaani tunavamiwa na westeners halafu wanashindwa kuchukua concrete actions badala yake wanabaki wakijikomba tu kwa hao wanaoitwa "WAKUBWA"!!!