Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,857
- 2,711
Siku za karibuni pengine na za usoni tumeshuhudia jk akiwa mkali kwa watendaji wake. Hapo nyuma hakuwa hivyo. Kuna uwezekano kabisa kuwa yale matatizo yaliyokuwa yakimuandama, Babu kayapatia suluhu hivyo kumfanya rais kuwepo kiutendaji zaidi kuliko kitiba na mapumziko zaidi. Hili lawezekana maana magonjwa wandugu tuyasikie tu. Jk fanya kazi sasa ila tusije kukusifia kwa mbio hadi ukapitiliza kwenu