Mwanaume mmoja nchini Uingereza ametumia jumla ya dola 10,000 kufanya operesheni za kumfanya aonekane kama shetani kwa kujipandikiza mapembe kama ng'ombe, kuugawanya ulimi wake vipande viwili uwe kama wa nyoka, na kuyatengeneza meno yake yawe kama vampire. Hivi sasa yupo kwenye hatua za mwisho za kujipandikiza mkia na kujiweka kibiongo mgongoni.
Habari yake kamili gonga hapa http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=2526646&&Cat=7
Habari yake kamili gonga hapa http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=2526646&&Cat=7