jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Ni suala linalozidi kuwa wazi kuwa NEC inatangaza matokeo kule ambako CCM imeongoza. Kule wapinzani wanapoongoza hasa hasa CHADEMA hawatangazi! Na kuzuwia kusoma matokeo kwa majimbo kama Ubungo na Kawe wana-divert attention ya Taifa from kuhakiki na kusimamia kura za urais sehemu nyingine.
Wito wangu:
Kila Mgombea wa upinzani katika kila jimbo, asimamie ukusanyaji wa matokeo ya urais na ayawakilishe makao makuu ya Chadema ama CUF kwa majumuisho, huu si muda wa kuzubaa, by the tyme hawa wabunge wa CHADEMA ama CUF wanamaliza kushangilia ushindi wao wa ubunge na udiwani, CCM watakuwa wamemaliza kuchakachua kura za urais!
Kama tulivyofanya ubungo kwa ubunge, vivyo hivyo tufanye na urais nchi nzima jamani, tutakuja chekwa tukiwaachia hawa mafisadi!
Attn: Freeman Mbowe, Ndesamburo, Zitto Kabwe, Pro. Baregu, Dr Slaa, Sugu, Vicent Nyerere, Mpendazoe, John Shibuda, Halima Mdee, John Mnyika, Ezekiel Wenje, Peter Msigwa, Hiyness Kiwia,Meashack Opolukwa na wengineo.
Hata kama mbunge wa CHADEMA umeshindwa, simamia kura za urais na uzitume makao makuu kwa majumuisho!:thinking:
Wito wangu:
Kila Mgombea wa upinzani katika kila jimbo, asimamie ukusanyaji wa matokeo ya urais na ayawakilishe makao makuu ya Chadema ama CUF kwa majumuisho, huu si muda wa kuzubaa, by the tyme hawa wabunge wa CHADEMA ama CUF wanamaliza kushangilia ushindi wao wa ubunge na udiwani, CCM watakuwa wamemaliza kuchakachua kura za urais!
Kama tulivyofanya ubungo kwa ubunge, vivyo hivyo tufanye na urais nchi nzima jamani, tutakuja chekwa tukiwaachia hawa mafisadi!
Attn: Freeman Mbowe, Ndesamburo, Zitto Kabwe, Pro. Baregu, Dr Slaa, Sugu, Vicent Nyerere, Mpendazoe, John Shibuda, Halima Mdee, John Mnyika, Ezekiel Wenje, Peter Msigwa, Hiyness Kiwia,Meashack Opolukwa na wengineo.
Hata kama mbunge wa CHADEMA umeshindwa, simamia kura za urais na uzitume makao makuu kwa majumuisho!:thinking: