Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Eti bi harusi kasema mshadede wake una macho.
Makubwa haya.
Makubwa haya.
Ongeeni vizuri na bi harusi,
Lzm kuna sababu tu!!
Ongeeni vizuri na bi harusi,
Lzm kuna sababu tu!!
Angekua mjanja hayo madai yangefuatana na atalaka. Kama bado hajatoa talaka kisheria atafute mwanasheria mzuri aangalie ni kwa namna gani anaweza kupata fidia alafu awape hao wazushi offer. Wakikataa asisaini makaratasi ya talaka ili huyo dada aendelee kuwa mke wake kisheria ,kumnyima uhuru wa kuruka kimanga na huyo jangili mwenzake.
labda jamaa kabeba mashine ya kutisha mtoto kuona akaogops,tuulizie kuhusu hilo
Khaaaa!Eti bi harusi kasema mshadede wake una macho.
Makubwa haya.
Khaaaa!
Hata km ni mie kwa sababu hiyo ningetoka nduki wala nisingesubiri ndoa na sherehe,
Asa alijuaje wakati mafundisho ya kanisa hili ni hakuna kuonja mpaka ndoa???!!!
i like the girl just give her contacts meeeeeeeeeeeen
Dah! ndio maana mie nilishapanga,Baada ya sherehe walivyoenda chumbani
si bwana harusi akavua akaoge
ndio kuona mimacho ndu
inamtazama
Dah! ndio maana mie nilishapanga,
Lzm niiifanyie mazoezi kwanza,km nikiimudu wakati wa riheso basi na wakati wa pafomansi mambo yatenda vizuri!!
Haya mambo ya kuaibishana sio ishu wala nn,bora nikimbie wakati wa riheso lol!!
Hapa ni sheki weli bifoo usi,ebo!!!ha ha ha, una akili kama kibaka wa ubungo
hapo kwenye red iyo siyo kazi yaohabari zenu wana jf!!
Ni wiki 2 sasa zimepita baada ya kutokea kisa kitaani kwetu kilichokuwa kama movie flani hivi lakini ni cha kweli. Jamaa wa kitaani kwetu aliamua kuoa na kufuata taratibu zote; kuchumbia,kutoa mahari, send off na mwisho harusi iliyofaana sana.
Baada ya harusi mume an mke wakaenda honey moon ili kukamilisha ndoa kwa lile tendo lenyewe lakini bi harusi akagoma sababu alikuwa amechoka sana na mishe za harusi toka asubuhi, bw harusi akawa mwelewa coz anajua mali ni ya kwake siku zote na kuvumilia hadi asbh.
Kumekucha bi. Harusi akaenda kuoga then bw. Harusi akafuatia kwenda bafuni, alipotoka kuoga akamkuta mkewe keshavaa na kupendeza. Akamwambia mumewe kuwa anaenda hapo supermarket kuchukua dawa ya meno ndo hakurudi tena.
Baada ya uchunguzi wa usalama wa taifa na police wakaenda kumpata tabora na huyo mchumba mpya aliyemtorosha na kumuoa badala ya mume wa ndoa!!! Hivi sasa wamekamatwa na police inasubiliwa bw.harusi aamue nini cha kufanya!!
Ingekuwa wewe ungeamua nini????!!!!! Toa maoni. Ahsanteni mimi nilikuwa best man kwenye send_off nmeombwa ushauri.
Dah! ndio maana mie nilishapanga,
Lzm niiifanyie mazoezi kwanza,km nikiimudu wakati wa riheso basi na wakati wa pafomansi mambo yatenda vizuri!!
Haya mambo ya kuaibishana sio ishu wala nn,bora nikimbie wakati wa riheso lol!!