Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Habari zenu wana JF!!
Ni wiki 2 sasa zimepita baada ya kutokea kisa kitaani kwetu kilichokuwa kama movie flani hivi lakini ni cha kweli. Jamaa wa kitaani kwetu aliamua KUOA na kufuata taratibu zote; KUCHUMBIA,KUTOA MAHARI, SEND OFF na mwisho HARUSI iliyofaana sana.
Baada ya harusi MUME an MKE wakaenda HONEY MOON ili kukamilisha ndoa kwa lile tendo lenyewe lakini Bi HARUSI akagoma sababu alikuwa amechoka sana na mishe za Harusi toka asubuhi, Bw Harusi akawa mwelewa coz anajua mali ni ya kwake siku zote na kuvumilia hadi asbh.
Kumekucha Bi. Harusi akaenda kuoga then Bw. Harusi akafuatia kwenda bafuni, alipotoka kuoga akamkuta mkewe keshavaa na kupendeza. Akamwambia mumewe kuwa anaenda hapo supermarket kuchukua Dawa ya meno ndo HAKURUDI TENA.
Baada ya uchunguzi wa Usalama wa Taifa na police wakaenda kumpata Tabora na huyo mchumba mpya aliyemtorosha na kumuoa badala ya MUME wa ndoa!!! hivi sasa wamekamatwa na Police inasubiliwa Bw.Harusi aamue nini cha kufanya!!
Ingekuwa wewe ungeamua nini????!!!!! Toa maoni. Ahsanteni mimi nilikuwa best man kwenye SEND_OFF nmeombwa ushauri.
Ni wiki 2 sasa zimepita baada ya kutokea kisa kitaani kwetu kilichokuwa kama movie flani hivi lakini ni cha kweli. Jamaa wa kitaani kwetu aliamua KUOA na kufuata taratibu zote; KUCHUMBIA,KUTOA MAHARI, SEND OFF na mwisho HARUSI iliyofaana sana.
Baada ya harusi MUME an MKE wakaenda HONEY MOON ili kukamilisha ndoa kwa lile tendo lenyewe lakini Bi HARUSI akagoma sababu alikuwa amechoka sana na mishe za Harusi toka asubuhi, Bw Harusi akawa mwelewa coz anajua mali ni ya kwake siku zote na kuvumilia hadi asbh.
Kumekucha Bi. Harusi akaenda kuoga then Bw. Harusi akafuatia kwenda bafuni, alipotoka kuoga akamkuta mkewe keshavaa na kupendeza. Akamwambia mumewe kuwa anaenda hapo supermarket kuchukua Dawa ya meno ndo HAKURUDI TENA.
Baada ya uchunguzi wa Usalama wa Taifa na police wakaenda kumpata Tabora na huyo mchumba mpya aliyemtorosha na kumuoa badala ya MUME wa ndoa!!! hivi sasa wamekamatwa na Police inasubiliwa Bw.Harusi aamue nini cha kufanya!!
Ingekuwa wewe ungeamua nini????!!!!! Toa maoni. Ahsanteni mimi nilikuwa best man kwenye SEND_OFF nmeombwa ushauri.