wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
Agape tv wanahubiri dini au wanafanya biashara ya pombe.
Kwanza naona wanajichanganya na wabaguzi kweli wale wako kibiashara zaidi, ukitaka kujua kuwa si watu wa huduma bali biashara, walikuwa wa kwanza kujitoa kwenye public dish bila kujiuliza waumini wangapi wa neno la mungu wamewapoteza kwa kuondoa matangazo kwenye ungo wa kawaida eti kukwepa watu wasione bure matangazo ya mpira.
Najiuliza kila siku hawa core ni mpira au dini maana matangazo yao ya ting yameegemea zaidi kwenya mpira kuliko hata dini.
Mbaya zaidi kwenye kwenye mahubiri yao wanakataa pombe wakati huo huo ni mawakala wa matangazo ya pombe heineken. Kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni
Kwanza naona wanajichanganya na wabaguzi kweli wale wako kibiashara zaidi, ukitaka kujua kuwa si watu wa huduma bali biashara, walikuwa wa kwanza kujitoa kwenye public dish bila kujiuliza waumini wangapi wa neno la mungu wamewapoteza kwa kuondoa matangazo kwenye ungo wa kawaida eti kukwepa watu wasione bure matangazo ya mpira.
Najiuliza kila siku hawa core ni mpira au dini maana matangazo yao ya ting yameegemea zaidi kwenya mpira kuliko hata dini.
Mbaya zaidi kwenye kwenye mahubiri yao wanakataa pombe wakati huo huo ni mawakala wa matangazo ya pombe heineken. Kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya filauni