Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
maandamano aliyofanya jana jose chameleon ubalozi wa tanzania nchini uganda yamemuwezesha kupata passport yake,passport amepata kupitia Air Uganda inayofanya safari zake entebe to dar.
sasa hiv anajiandaa kwenda kufanya shoo south africa,anatarajiwa kusafiri mwezi wa 8,tarehe 3,na baadaye kwenda ulaya na america.
je bila kuandamana unaweza usipate haki yako kwa muda muafaka
sasa hiv anajiandaa kwenda kufanya shoo south africa,anatarajiwa kusafiri mwezi wa 8,tarehe 3,na baadaye kwenda ulaya na america.
je bila kuandamana unaweza usipate haki yako kwa muda muafaka