kashesho
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 4,976
- 2,465
Ooh!! nafurahi kujua hilo...turudi kwenye topic yetu sasa, best vipi pafomansi yako wakati wa kupandishana mashetani...ni tia maji tia maji? au ni ile teremka tukaze?
ha ha ha haya ni ya baba na mama ...ila siku hizi hakuna cha kabila fulani halijui mahabati hiyo hamna tena siku hizi mahabati ni jitihada zako mwenyewe na ubunifu wako