sasa mamia hii siyo fare mbona wachaga tu na baadae wahaya na sisi wajaluo na wakuria je?...kwa nini usitujaribu sisi wajaluo kabla ya kumtafuta mhaya na amini utakuwa umemaliza matatizo yako yote...na hopefully utafunga na thread kabisa.
He he he eee, Mikulya ndo SUFURI kabisa. tena linasema "naomba nikuingie' huku macho mkavuuu!! Halafu akiingia analala usingizi haaapo hapooo
...
Nalinganisha na miaka ya 1950-1960 ndio walikuwa wengi wao hawakwenda shule hasa wanawake.
Go ahead dear! Nilikaa na mchaga kwa kweli nina kumbukumbu mbaya nao ni kama nilikuwa nabakwa tu. But now with Mhaya .......... wooow! Watake wasitake ukweli ndo huo!
Mapenzi na shule wapi na wapi! Shule gani zinafundisha mapenzi?
We Mama mia acha masihara!mimi mwenyewe nilikuwa nasikia hizo habari,ila nilipokuja kupata mpenzi wa kichaga hiyo dhana nimeifuta kabisa,watu wanapata mambomakali mpaka wanapiga vigelegele.jamani hiyo dhana haina ukweli.
Hivi vigelegele unapigia wapi? Heheheee, mzee wa Chumvi huyu!!!! Eleleleeleeelee.......
Mama Mia, kwanza hili jukwaa mimi huwa sipiti, umri ulishapanda sana, ila haya nikuambiayo ni ya ukweli kabisa natanguliza samahani kwa ndugu zangu wachagga.naomba jibu
nadhani mapenzi ni makubaliano ya watu wawili,kuna mwingine anapenda manjonjo mwingine hapendi,mwingine anapenda vilio mwingine hapendi,so unaweza sema wachaga hawajui coz tuliskia wanasema"ukimarisa funika"but for me nikiwa na mpenzi ntafanya vile nafsi yangu inanituma kufanya,kama ni kelele ntapiga mpaka majirani waskie kama ni sarakasi ntaruka mpaka nitoboe celing boad,its pat of refleshment na kutoa stress.so I will enjoy to the fullest,na kama anaona sijui au hataki nifanye hivyo navyofanya beta aniambie anataka nifanye vipi ikiwezekana anifundishe ngoma za kwao.