Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
katika pita pita zangu nimeaona niiposti hii:
squeezed vertically. is not 1:1 scale of the actual face. It is computer edited not actual image.
Kukipiku Chama Cha CCM inataka kazi tena kazi yenyewe iwe nzito sana, sio mchezo jamani kusema ukweli CCM imeota mizizi ndani ya Serikali. Kuking'owa CCM itachukuwa muda mrefu sana itabidi vyama vya upinzani viwe kitu kimoja Viungane pasipo na kuungana hakuna chama chochote cha Upinzani kinachoweza kukishinda CCM. mimi naombea Dr Slaa awe Rais wetu wa Mwaka 2010 Mungu amsaidie Ameen.
Itachukuwa Muda tena Muda mrefu sana. Ukiangalia kwa undani bado wananchi wamelala tena usingizi mzito. Unajuwa CCM inafanya kampeni zake kwa walala hoi kuwapa vitu vya anasa kwa mfano kuwapa pombe, kuwasaidia matatizo madogo madogo na vivutio vingi vidogo vidogo ambavyo havina mpango wowote ule.Ukiangalia kwa makini wanachi bado wapo usingizini tena huo usingizi ni mzito sana itabidi waamke wananchi wenyewe waone ukweli wa mambo kuwa Chama cha CCM hakina mpango wowote.Ndio tunaweza kusema kuwa hapo Wanachi watakapo amka kutoka usingizini ndipo ukifanyika Uchaguzi vyama vya upinzani vyaweza kukishinda CCM. Bila ya hivyo Nchi itazidi kudidimia ikiongozwa na Chama cha CCM, na umasikini utazidi itafika nchi yetu kuwa kama Zimbabwe. Itafika wakati pesa ya hapo kwetu itakuwa kama ni karatasi kwa lugha ya kizungu wanaita (Toilet Paper) Pesa ya hapo kwetu itakuwa haina thamani kabisa tuamkeni Wanachi tuwachaguwe Viongozi wanaopenda Maendeleo ya Wanachi na Walala hoi Masikini Asanteni.Kuing'oa CCM ni kazi nzito ni kweli. Lakini kwa hakika watu wakiamka hakuna lisilowezekana pamoja na mtandao mkubwa CCM iliyo nao. Hebu fikirini kwa mfano mwaka 1995 kama si Mwl. Nyerere unadhani Mrema asingeunyaka Urais wa TZ? CCM ilikuwepo kama jana na leo lakini upepo ulivuma kinamna kabisa. Wamshukuru Kambarage. Hakika mwaka ule CCM ilikuwa imepoteza kiti cha Urais. Ikabidi mzee wa kifimbo kuingilia kati baada ya kuona CCM inazamishwa. Nasema: CCM inaweza kung'olewa kama wananchi wakipata mwamko wa kutosha.
katika pita pita zangu nimeaona niiposti hii:
Kukipiku Chama Cha CCM inataka kazi tena kazi yenyewe iwe nzito sana, sio mchezo jamani kusema ukweli CCM imeota mizizi ndani ya Serikali. Kuking'owa CCM itachukuwa muda mrefu sana itabidi vyama vya upinzani viwe kitu kimoja Viungane pasipo na kuungana hakuna chama chochote cha Upinzani kinachoweza kukishinda CCM. mimi naombea Dr Slaa awe Rais wetu wa Mwaka 2010 Mungu amsaidie Ameen.
Bubu,Tuombe iwe kweli Mwanakijiji, nitakuwa na furaha ya hali ya juu kama hili hili litatokea (itafanana kabisa na ushindi wa Obama ile November, 2008) ingawaje najua kazi iliyo mbele ya Dr Slaa ni ngumu mno, lakini inawezekana kabisa. Hivi wale CCM UK waliichangia CCM, je, hapa ukumbini kama kuna watu tunataka kumchangia Dr Slaa tunaruhusiwa kufanya hivyo au "sheria za uchaguzi Tanzania" hazituruhusu?
Bubu,
Tunaruhusiwa kuchangia. Kuna kikundi kimeanzishwa cha Friends of Slaa (FOS) nikipata taarifa zaidi nitakuPM
Kukipiku Chama Cha CCM inataka kazi tena kazi yenyewe iwe nzito sana, sio mchezo jamani kusema ukweli CCM imeota mizizi ndani ya Serikali. Kuking'owa CCM itachukuwa muda mrefu sana itabidi vyama vya upinzani viwe kitu kimoja Viungane pasipo na kuungana hakuna chama chochote cha Upinzani kinachoweza kukishinda CCM. mimi naombea Dr Slaa awe Rais wetu wa Mwaka 2010 Mungu amsaidie Ameen.
Ni vigumu kwa Padre kuwa Rais wa Tanzania...BIG NO!