Athumani Ally Maumba aliyetikisa miaka ya 1980s kwa kulawiti wanafunzi yupo wapi?

Nn umenikumbusha mbali sana. Maumba kweli ndie alipromote tigoism na kipindi hicho hakuna Ky duh yale mafuta ya rays nafikiri ndo yalikuwa yanatumika. Poor man sijui vile vitoto viko wapi alivyovifanyia
Angalizo NN angalia usije ukatonesha vidonda vya watu maana wengine wanaweza kuwa member humu
 
Nn umenikumbusha mbali sana. Maumba kweli ndie alipromote tigoism na kipindi hicho hakuna Ky duh yale mafuta ya rays nafikiri ndo yalikuwa yanatumika. Poor man sijui vile vitoto viko wapi alivyovifanyia
Angalizo NN angalia usije ukatonesha vidonda vya watu maana wengine wanaweza kuwa member humu

Ahahahaaaa Maumba kweli mwanakharamu yule! Aliharibu karibu mji mzima.
 
Aisee......

Umenikumbusha mbali sana Nkwingwa...

Maumba alikuwa ni noma......

Nakumbuka hata Saleh Jabir kwenye wimbo wake mmoja kuna kipande aliimba 'Sitopenda wengi kama Maumba'

Naikumbuka vyema hiyo ngoma ya Saleh Jabir...hivi hii si ndo ile aliyo sample Ice Ice baby ya Vanilla Ice? Kama unayo naomba niwekee Nkwingwa.
 
Naikumbuka vyema hiyo ngoma ya Saleh Jabir...hivi hii si ndo ile aliyo sample Ice Ice baby ya Vanilla Ice? Kama unayo naomba niwekee Nkwingwa.
Yeah....Ndo hiyo hiyo....

Anasema 'Katakata ngoma za kisasa katakata hata kwasakwasa kibao ni chako si cha kuazima hata ukiwa mtu mzima................Kitu kimenikaa moyoni sasa naamua kukitoa mdomoni,yooo I don't know kusema mengine naona choo......Niko still nataka mic ya umeme niko kwenye stage nayakata madebe'........Hahaaaaaaaaaa
 
Yeah....Ndo hiyo hiyo....

Anasema 'Katakata ngoma za kisasa katakata hata kwasakwasa kibao ni chako si cha kuazima hata ukiwa mtu mzima................Kitu kimenikaa moyoni sasa naamua kukitoa mdomoni,yooo I don't know kusema mengine naona choo......Niko still nataka mic ya umeme niko kwenye stage nayakata madebe'........Hahaaaaaaaaaa

Daah hiyo mistari imenikumbusha mbaaaaaaaaaaaaaaaaali sana aise.
 
Oooh Yusuf Maumba?! NN umenikumbusha mbali mno! Enzi hizo nilikuwa std 5,demu kipindi hicho akilambwa tulikuwa tunaimba "Maumba dole tupu eeeh!". Huyu bwana alikuwa fundi cherehani. Ky yawezekana ilikuwepo lakini haikuwa popular maana ni product ya longi sana,mafuta ya mgando yaliyokuwepo rahisi iliku shanti na rays. Mwenye kufahamu alipo huyu mkuu mtujuze wakuu.
 
Oooh Yusuf Maumba?! NN umenikumbusha mbali mno! Enzi hizo nilikuwa std 5,demu kipindi hicho akilambwa tulikuwa tunaimba "Maumba dole tupu eeeh!". Huyu bwana alikuwa fundi cherehani. Ky yawezekana ilikuwepo lakini haikuwa popular maana ni product ya longi sana,mafuta ya mgando yaliyokuwepo rahisi iliku shanti na rays. Mwenye kufahamu alipo huyu mkuu mtujuze wakuu.

KY imekuja sokoni juzi mbele tu hapa baada ya mambo ya utandawazi. Ulaya na Marekani ilikuwepo tokea longi.
 
Hivi huyu bwana bado ananyea debe? Aliviharibu sana visichana vya shule za msingi huyu.

Kwa wale wenzangu na mie mliokuwa mjini kabla chipsi hazijafika lazima mtakuwa mmelisikia hili jina. Wapi Ze Boss?
Nkwingwa hii kesi ya Maumba ilivutia watu wengi sana maana ilionekana ni kitu cha ajabu sana kwa binadamu kufanya vitendo alivyofanya Maumba....Alionekana ni mnyama,fedhuli na hayawani.....Kila baya Maumba alikuwa ni rejea....

Pia kulikuwa na kesi ya mwanamama Sarah Martin Simbaulanga(alikuwa mfanyakazi wa NBC) ambaye kwa kushirikiana na bwana wake Toroha Mohammed Toroha aliiba hela Tshs million 31(ikiwa ni pamoja na hundi za wasafiri) za benki ya Taifa ya Biashara(NBC)......Huyu mama alifunika kweli kwenye vyombo vya habari(hasa gazeti la Uhuru na Mfanyakazi) miaka hiyo kati ya 1987 na 1990......Huyu mama alionekana ni mtu wa hatari sana katika jamii(kama Maumba vile)
 
Hivi huyu bwana bado ananyea debe? Aliviharibu sana visichana vya shule za msingi huyu.

Kwa wale wenzangu na mie mliokuwa mjini kabla chipsi hazijafika lazima mtakuwa mmelisikia hili jina. Wapi Ze Boss?
Halafu Nkwingwa nimekumbuka......Jamaa alikuwa anaitwa ATHUMANI MAUMBA
 
Halafu Nkwingwa nimekumbuka......Jamaa alikuwa anaitwa ATHUMANI MAUMBA

Eewaaaa ni Athumani Maumba!

Unajua jamaa alijulikana kwa jina moja tu sasa kukumbuka jina lake jingine ni kazi kidogo.

Mods mnaweza mkafanyia marekebisho kichwa cha mada.
 
Eewaaaa ni Athumani Maumba!

Unajua jamaa alijulikana kwa jina moja tu sasa kukumbuka jina lake jingine ni kazi kidogo.

Mods mnaweza mkafanyia marekebisho kichwa cha mada.
Yeah.....

Unajua kipindi anaharibu watoto wa shule za msingi pale Magomeni na Kisutu hiyo miaka ya 1986 hadi 1987 alipokamatwa alikuwa tayari ni mzee....Nadhani sasa hivi atakuwa keshakufa(kutokana na umri aliokuwa nao wakati akihukumiwa kifungo hicho...

Athumani Ally Maumba.....Huyu mzee alikuwa hafai hata kidogo...
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom