Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
Mi ni mtumiaji wa huduma ya interneti kwa kutumia mitandao kama celtel na voda. nime observe madhara ya virusi vinavyopatikana kwenye windows jinsi gani vinaweza vikakuathiri katika kukumalizia pesa yako unapoconnect simu yako na kompyuta. Celtel na voda naona huwa wanakata hela acording the bytes ulizotuma na kupokea. sasa mara nyingi ukiconnect tu kwenye mtandao unaanza kuona bytes zinaliwa wakati hujaanza kufanya activity yoyote. Nimekuja kuhisi kwamba kuna kuwa na operation ambazo zinaendelea underground bila ya user kuelewa.zinaestablish internet connections bila ya wewe kufahamu kwa hiyo unakatwa tu hela unapokuwa umeconnect na service proivider. hichi kitu nahisi kinasababishwa na virusi. yesterday nikatumia kompyuta ambayo ipo clean kwa maana haina virusi. sikuona bytes zikiliwa pale ambapo nilikuwa situmii mtandao. Sasa hivi windows inakuwa attacked na virus vibaya mno. sasa sijui kama kuna software ambazo unaweza uka zikonfigure ili connection establishment yoyote iwe inakuwa authenticated na mtumiaji wa kompyuta? makampuni ya simu nawashauri pia muangalie kwenye ili suala. ababu mtakosa wateja wa internet ambao watakuwa wanacomplain kwamba service zenu ni expensive kumbe pia na virusi vinachangia. Mnaweza mkatoa elimu kwa wateja wenu.