Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
- CUF walilaghaiwa wakaingia kwenye mazungumzo ya muafaka na CCM, sasa wanaonja machungu yake.
- Walilikoroga kwa kushiriki katika mazungumzo feki eti ya muafaka, sasa wawe tayari kulinywa.
- Waliongozwa na tamaa yao ya kutaka kugawana na mahasimu wao hicho kipande cha keki, sasa yawatoka puani.
- Je, Walidanganywa na nani ?
Wakasukumwa na kitu gani ?
Na sasa watamlaumu nani ?