Athari za kuridhia muafaka....CUF wanavuna walichopanda ?

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757
  • CUF walilaghaiwa wakaingia kwenye mazungumzo ya muafaka na CCM, sasa wanaonja machungu yake.
  • Walilikoroga kwa kushiriki katika mazungumzo feki eti ya muafaka, sasa wawe tayari kulinywa.
  • Waliongozwa na tamaa yao ya kutaka kugawana na mahasimu wao hicho kipande cha keki, sasa yawatoka puani.
  • Je, Walidanganywa na nani ?
    Wakasukumwa na kitu gani ?
    Na sasa watamlaumu nani ?
 
Back
Top Bottom