HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
Jamaa mmoja alikuwa Uarabuni kikazi. Alipokuwa anakaribia kumaliza mkataba wa kazi, huku kwao wakamfanyia utaratibu wa kumpata mwenza. Ndoa ikafanyika akiwakilishwa na mtu mwingine.
Siku iliwadia na jamaa akarudi nchini. Akiwa uwanja wa ndege alikutana na binti ambaye alimvutia. Akarusha maneno yake na hatimaye wakaenda sehemu na kungonoana.
Mshtuko ulimpata pale alipoenda kutambulishwa mkewe na kukuta kuwa yule aliyekuwa amengonoana nae ndiye mkewe, wote wawili wakawa wanatazamana wakiwa na mawazo tele kichwani.
Ingekuwa ndio wewe ungefanyaje?
Siku iliwadia na jamaa akarudi nchini. Akiwa uwanja wa ndege alikutana na binti ambaye alimvutia. Akarusha maneno yake na hatimaye wakaenda sehemu na kungonoana.
Mshtuko ulimpata pale alipoenda kutambulishwa mkewe na kukuta kuwa yule aliyekuwa amengonoana nae ndiye mkewe, wote wawili wakawa wanatazamana wakiwa na mawazo tele kichwani.
Ingekuwa ndio wewe ungefanyaje?