mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Hii ndio tanzania, kila anayepewa cheo hafikirii maendeleo ya taifa bali yake binafsi
wameziua shule zetu nzuriii weruweru, kilakala, songea boys==wakaanzisha zao st marys, feza, alpha ...
Wakaua air tanzania ====wakaanzisha kina 540
wakaua usafiri wa reli =====wakaleta magari yao ya mizigo
wakaua uda ======wakaleta mabasi yao
wakawafutia madaktari wa serikali ajira ==== na kuongeza hospital binafsi za bei za kifisadi
wakampeleka ulimboka kumuua mabwepande====na kuwakumbatia mafisadi
dah
wameziua shule zetu nzuriii weruweru, kilakala, songea boys==wakaanzisha zao st marys, feza, alpha ...
Wakaua air tanzania ====wakaanzisha kina 540
wakaua usafiri wa reli =====wakaleta magari yao ya mizigo
wakaua uda ======wakaleta mabasi yao
wakawafutia madaktari wa serikali ajira ==== na kuongeza hospital binafsi za bei za kifisadi
wakampeleka ulimboka kumuua mabwepande====na kuwakumbatia mafisadi
dah