ATCL yashtakiwa Marekani kwa kuvunja Mkataba; kulipa karibu bilioni 10

Hivi Kuna Member wa kudumu kwenye Government Negotaing Team. tuwajue kwa majina. Maana hata JK tulimsifu kwa kutambua uwepowa mikataba mibovu lakini na yeye na watu wake wanaendelea alipoishia Mkapa

Inakuwaje mikataba inakuwa haina walk out clause.

Nadhani hata ma agent wa wacheza soka wa ulaya wanaweza kuwa mawakala wetu wa mikataba mizuri .

Au JK abinafsihe Kitengo cha mikataba kwa mashirika kama price cooper waterhouse

Kwa hali hii utaona wazi mikataba tunaandikiwa, si wajua chini ya CCM tunavyopenda misaada na easy come. Sasa yaliyojadiliwa si lazima yaandikwe, anayeandika anajali maslahi yake binafsi hata ukaomba marekebisho haitakua kama vile ambavyo ungeandika mwenyewe.

Kama rushwa ilitolewa basi hata marekebisho hua si muhimu - CCM wameuza nchi nzima na vijukuu vyao kwa rushwa ya vimilioni.
 
Hawa waandishi makanjanja wanaandika bila kucheck facts, toka lini William Haji akawa Managing Director wa ATCL? David Mattaka bado ndio ceo wa ATCL!


I woluld say the same but ndugu yangu Not Enough ana maelezo tofauti, jamani wenye datas tusaidieni. Nani haswa anayeongoza ATCL na uvundo wake wote kwa sasa? Maybe tukianzia hapo tutapata majibu ya maswali yetu
 
Tuahitaji mtu akatwe kichwa hadharani, ndipo tutaamka!


Japo huku mbali lakini nataka kutamani hivi.

What a fu****n shit is going on in this country??

Hivi hii si ndio ile 263 na ushenzi hawa mbwa wananikata kila mwezi ndo wanaichezea hivi????

Halafu elimu bure kwa watoto na ndugu zangu haiwezekani???

Acha tukamatane mashati mtaani one day ndo tutaheshimiana.

BILA KUPIGANA WANAUME HAWAHESHIMIANI!!!!!!NADHANI NDICHO WANACHOTAFUTA
 
Niliona jana nikasema nitakuja kuipost jamani hatujapumzika na maumivu ya Dowans kuna lidudu lengine laja njiani jamani tutafika hivi kweli maana hadi hasira sasa. Hili linchi jamani hakuna mtu mwenye uchungu na hizi kodi zetu tunazolipa ah hadi hasira wacha nikajilie kilaji nikalale.

usikate tamaa mkuu.kufika tutafika tu ingawa tutakua choka mbaya lakini tutafika.
 
Hii katuni ilitoka wiki iliyopita...kwa kweli inatia hasira!!
 

Attachments

  • kpleo.jpg
    kpleo.jpg
    20.2 KB · Views: 32
22nd January 2011 (The Guardian)
ATCL%2812%29.jpg

Air Tanzania Company Limited (ATCL)

Air Tanzania Company Limited (ATCL) is being sued in American and South African courts for failing to pay USD 5.7million after breaching contracts.

Transport Minister, Omari Nundu told The Guardian in an exclusive interview yesterday that Celtic Capital Air Corporation of the US for failing to pay the debts amounting to USD 1.5milion after alleged breach of contract for lease of planes in March last year.

He said South African Airways is suing ATCL for failing to pay USD 4.2 million.

Nundu said Celtic Corporation had leased two Boeing 737-200 planes to ATCL.

"ATCL leased two planes from the Corporation, but as time went by it stopped using one of them," he said adding: "The contract for the second air craft lapsed in March 2010 following the plane crash at Mwanza airport.

Nundu said the company's debts will be fully known after a thorough auditing of its financial records.
"We are now paying salaries to the company's workers from the Treasury," he noted.

The minister stressed that the government was doing all in its power to attract investments to the air transportation sector in order to stimulate competition and raise efficiency.

In December last year, this paper reported the intention of a US firm, Celtic Capital Air Corporation to sue Air Tanzania Company Limited (ATCL) for breach of contract covering the lease of a Boeing 737 aircraft.

The Corporation's Managing Director Fabian Bachrach told The Guardian in an exclusive interview that ATCL was dilly-dallying on the replacement of the B737 plane and that the government had also not guaranteed the fulfilment of the contract.

He claimed this constituted a breach of the terms of the contract, and could result in serious consequences for the ATCL and the government in general.

"We signed an 18-month contract to work with ATCL (from January 2, last year until July 2011), but some of the terms in the contract seem to be breached by ATCL," Bachrach said.

"ATCL seems to have decided not to replace the B737, which run off the runway in Mwanza and they are also not paying their debts," Bachrach claimed.

"The government has also not paid the guarantee they gave us," he said without giving details of the consequences.




SOURCE: THE GUARDIAN
 
Ndio haya maisha bora kwa kila mtanzania? Madeni yanayotokana na uzembe na kutowajibika kwa watendaji wa serikalini na mashirika ya umma!
 
Here we go again....We get into a crazy contract, breach it after couple of years, we get sued, we send over some incompetent lawyers, we loose the case, we pay the money...inauma sana kwa kweli!!

Hivi Precision wanafanya miujiza gani haswa ambayo ATCL wanashindwa? Sasa naamini kuwa hili shirika la umma linauliwa kwa makusudi!
 
Haya madudu mbona yanaongezeka kila siku? wamekuwa wakificha upuuzi huu chini ya mazulia siku zote hizi?
 
Mbona kila siku jamani sisi ni wa kuwa sued tu!!! Tuna ugonjwa gani sisi kwani>?

What is not happening in this country?

Tumeshageuzwa mti wa kuchumia fedha...watawala wetu sasa wamejua namna pekee ya kutafuna fedha za walipa kodi kwa dezo ni kwa njia ya mikataba...

Lazima mfumo wetu wa kuingia na kusimamia mikataba ibadilike sasa kabla hutajafika TUNISIA......This is so bad again
 
Niambieni kama kuna mkurugenzi au meneja yeyote aliyehusika na mikataba hiyo kama amewajibishwa kwa kufukuzwa kazi (siyo kuhamishwa) au kufungwa...au kama itatokea kuwa hivyo!!! Jibu twalijua...
 
Jamani JK na ccm yao nchi imewashinda watuachie nchi yetu. Aibu gani hii? Mwalimu aliwezaje kuyaendesha mashirika kama Reli, Air Tanzania na Shirika la meli?:A S-fire1::kev:
 
Ngoja walipishwe mpaka itakapo waingia akili na mwisho wa siku wataogopa kusign hiyo mikataba ya kimazingaombwe kwa kelele za watu kuwazidia! Sijui hili li nchi let kwanini linatuhusu vihiyo kuendelea kudhika nyadhifa kubwakubwa na kufanya madudu ya ajabu ajabu! Vihiyo ni lazima wawashiwe moto vinginevyo nchi yote itakuwa mfilisi kabla ya miaka 5 kuisha.
 
Shirika likiwa listed kwenye makampuni yanayobinafsishwa huondolewa uwezo wa kufunga mkataba wa aina yeyote bild idhini ya serikali. Kwa historia ya shirika hili halikuwa na uwezo wa kufunga mkataba hivyo inawezekana kabisa kuwa waliingizwa kwenye mkataba na serikali kama ilivyofanyika Tanesco.
 
Angalia hii:
Nundu said the company's debts will be fully known after a thorough auditing of its financial records.
"We are now paying salaries to the company's workers from the Treasury," he noted.

- Sitoshangaa kukuta posho za mafuta ya mashangingi ya wakurugenzi inalipwa na treasury.

- Haitakuwa ajabu kusikia kwamba mishahara ya wakurugenzi wa shirika hii imeongezeka katika kipindi hiki chote shirika likiwa limeshindwa kujiendesha.

- Sitoshangaa kusikia kuwa gharama za mahoteli na mikutano zimeendelea kuwa vilevile au hata kuongezeka katika kipindi hiki likiwa limeshindwa kujiendesha, na zote zinatoka treasury.
 
The main problem in our country is lack of patriotism especially to our leaders. Very sad
 
Back
Top Bottom