Watanzania mlivyo wapumbavu nawaona live kuwa umaskinii huu wa nchi yetu sio bahati mbaya kabisa. Ni sababu ya bongolala. Mnadharau credentials za Paul Chizi katika mambo ya aviation?? Nahisi mkija kuanzisha kijikampuni cha computer halafu Bill Gates na Michael S Dell waonyeshe nia ya kuajiriwa mtataka wafanyiwe interview kwanza kufuata sheria ya kuwashindanisha na wengine ili waajiriwe kihalali wakati hao ndio nguli wa hiyo sekta, na kama Dell akitokea kuajiriwa bila kufuata sheria mtamuondoa na kuweka binamu zenu...
utaratibi ni utaratibu haujalishi unguli, kinachotakiwa ni policy na procedure kufuatwa.