Mnama
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 2,667
- 2,128
Tatizo ni kwamba kila kitu kimetawaliwa na siasa,shirika halina ndege halipewi mtaji wa kutosha kutoka serikalini wanapewa visenti vya mishahara tu ,kuna watu wanataka hili shirika life kabisa kwa sabau zao binafsi kama walivyofanya kwa General Tyre