ATCL kuundwa upya; mchakato waanza - waziri Kawambwa

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Waziri wa miundo mbinu amesema majuzi kwamba serikali imeanza mchakato wa kuiunda upya lile shirika la ndege la tanzania atc lililokuwa likilalamikiwa kila siku kukichwa...yamkini wengi wanajua yawezekana ni porojo za waziri kawambwa kutokana na kutokuwa mkweli kwenye maneno yake mia 2 huwa yanakaribia ukweli...wabunge wenye ufahamu wanaomjua walisikika wakiguna kabla ya kusema si kuongea wamejiandaaje????mh waziri amesema atatoa taarifa zaidi soon..\nadhani muda muaafaka umefika kulikomboa hili shirika kutoka kwa wadhalimu ..aiwezekani shirika lililokuwa na ndege 10 kuwa na ndege moja tena ndogo hili hali wafanyakazi wakiwa wanalalaama kila kukicha..kama ni kweli hii ni habari njema na nahisi kamawatakuwa makini waanze na uongozi wa juu isiwe kuteuana tena bali wapewe watu kama PWC kutafuta wenye sifa zinazohitajika....hakika watanzania wanasubiri hizo trilion walizotenga
Hongeren Wana Atc
 
nasikia kuna mchina kaja juzi anataka kuwekeza analeta ndege 15,ila mashaliti apwe mgodi, kwahiyo selikari wanatafuta mgodi wa kumpa. na atapewa kama Clinton kapewa mtwara na juzi kaja kaenda mpaka mtwara. Kipindi cha mwalimu haya ya kutoa migodi yayakuwepo watauzakila kona ya nchi.
 
porojo tu hakuna lolote.......neno "mchakato" ni kaulimbiu ya CCM kudanganyia wananchi maskini wa Tanzania
 
Hivi ATCL
inaweza kuchangia nini kwenye uchumi wa taifa ?
Inaweza kusafrhsa mizigo na abiaria wangapi ba kutoka wapi na wapi?
Haina mchango mkubwa hata kwenye utalii wa nchi yetu

Binafsi naona mambo ya anga ziachiwe kampuni binfsi haina mchango

Kwa nini waiziri wasiweke effort na nguvu na priority zao kwenye RELI ambayo
1.Ina mcgango mkubwa kiuchumi wa tanzania
2.Itaongeza infkuence ya badanri ya darisalam na usafirishaji wa mizgo kwenda rwanda uganda nk
3.RELI imeajiri watanzania wengi na inapita sehemu nyingi

Its time viongozi wetu waache politics kama ni shirika ambalo linatakuwa kuwa driving force na backbone kwa tanzania ni RELI
 
we have had enough rubbish from shukuru now!!! tuliambiwa wachina wanafanya due diligence, mara tukasikia wengine mara wapogoro

enough is enough serikali, yaani mmekamua ng'ombe sasa anatoa damu na bado mnapata courage ya kubwabwaja bungeni!!????

puuulliiiiizzzzzz this is nasty
 
Hii ATCL kila siku inaundwa upya? Mara ikaundwa upya na South African Airways. Tukaambiwa ubia umefutwa. Ikaundwa upya na Mataka akishirikiana na Mustafa Nyang'anyi.Walichofanya kimesababisha waziri kuiunda tena upya.
Mbona kama naona kila siku inaharibiwa upya badala ya kuundwa???
 
Tafadhalini wabunge wetu waiulize serikali kwanini Mtendaji mkuu wa ATCL; shirika linlopata ruzuku ya serikali kila mwezi, anaendelea kulipwa mshahara na marupurupu yanayozidi millioni kumi kwa mwezi ilihali hafanyi kazi ATCL?Huu ni utawala bora gani huu?
 
nasikia kuna mchina kaja juzi anataka kuwekeza analeta ndege 15,ila mashaliti apwe mgodi, kwahiyo selikari wanatafuta mgodi wa kumpa. na atapewa kama Clinton kapewa mtwara na juzi kaja kaenda mpaka mtwara. Kipindi cha mwalimu haya ya kutoa migodi yayakuwepo watauzakila kona ya nchi.

Tafadhali hii ni kweli?? Mungu tupishie mbali hii!! Apewe Shirika halafu apewe na Mgodi; kweli sasa Africa inataka kuwa koloni mara ya pili!!

Jeffrey Immelt, General Electric's chief executive, has launched a rare broadside against the Chinese government, which he accused of being increasingly hostile to foreign multinationals.
He warned that the world's largest manufacturing company was exploring better prospects elsewhere in resource-rich countries, which did not want to be "colonised" by Chinese investors. "I really worry about China," Mr Immelt told an audience of top Italian executives in Rome, accusing the Chinese government of becoming increasingly protectionist. "I am not sure that in the end they want any of us to win, or any of us to be successful."

"China and India remain important for GE but I am thinking about what is next," he said, mentioning what he called "most interesting resource-rich countries" in the Middle East, Africa, Latin America plus Indonesia. "They don't all want to be colonised by the Chinese. They want to develop themselves," he said. The comments echo a rising chorus of complaints from foreign business groups in China about the regulatory environment they face.
 
Tafadhalini wabunge wetu waiulize serikali kwanini Mtendaji mkuu wa ATCL; shirika linlopata ruzuku ya serikali kila mwezi, anaendelea kulipwa mshahara na marupurupu yanayozidi millioni kumi kwa mwezi ilihali hafanyi kazi ATCL?Huu ni utawala bora gani huu?

Kama inaundwa upya kuna kipindi ilikuwa sawa na ikabomolewa na hao walioibomoa wamachukuliwa hatua gani za kumfanya huyo watakae mteua hatafanya madudu kama ya waliopita??? mi nadhani wataiunda upya kila siku, na kila atakaepata chance atakula na kuondoka huku akijua serikali itaiunda upya....This is Disgusting...Stupid kabisa..............
 
Back
Top Bottom