babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Shirika la ndege tanzania (ATCL) linatarajia kuanza safari zake za ndani na nje ya nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya shirika hilo Mkurugenzi mkuu alisema wamepania kurudisha heshima iliyopotea kwa muda mrefu.
Aliainisha ya kuwa safari yao ya kwanza itaanza Ijumaa ya wiki hii na itakuwa ni kutoka Dar- Mza- kilimanjaro. Ikifuatiwa na safari za dar-zanz- Arusha kisha katikati ya mwezi novemba wataanza safari za dar- mtwara.
Akizungumzia safari za nje ya nchi alisema wataanza na safari za dar- Moroni hiyo ni kwa mwezi Nov.
Pia alisema wanatarajia kununua ndege mbili kubwa kwa ajili ya safari za ULAYA DUBAI NA CHINA IFIKAPO mwishoni mwa Desemba au mwanzoni mwa january.
Jamani tufunge na kuomba kwa imani zote yasije yakawa maneno matupu.
Kuelekea mageuzi ya kisiasa na kiuchumi tufufue vya nyumbani kwanza.
Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya shirika hilo Mkurugenzi mkuu alisema wamepania kurudisha heshima iliyopotea kwa muda mrefu.
Aliainisha ya kuwa safari yao ya kwanza itaanza Ijumaa ya wiki hii na itakuwa ni kutoka Dar- Mza- kilimanjaro. Ikifuatiwa na safari za dar-zanz- Arusha kisha katikati ya mwezi novemba wataanza safari za dar- mtwara.
Akizungumzia safari za nje ya nchi alisema wataanza na safari za dar- Moroni hiyo ni kwa mwezi Nov.
Pia alisema wanatarajia kununua ndege mbili kubwa kwa ajili ya safari za ULAYA DUBAI NA CHINA IFIKAPO mwishoni mwa Desemba au mwanzoni mwa january.
Jamani tufunge na kuomba kwa imani zote yasije yakawa maneno matupu.
Kuelekea mageuzi ya kisiasa na kiuchumi tufufue vya nyumbani kwanza.