ATCL kufufuka kisasa zaidi, kwa nguvu zaidi -- na kutawala tena soko!

Kwa kweli huwa sielewi ni kwa nini mawaziri, ma-DC, na viongozi ndani ya serikali yetu hawajaacha kufikiri mambo kinyume nyume!!! Mimi ninauhakika wote huko wanajua nini kinaendelea duniani, ni basi tu kuwa miiko ya uongozi ilishakufa, watu wanantumia advantage ya opportunities wanazoziona zinakuja....

Kweli ukiangalia senema ya ATCL, TRL, na uuzwaji wa UDA; unaweza ishia kuwa chizi.... Hawataki kuelewa kuwa wa-TZ wa sasa si wa miaka 25 iliyopita. Nilimsikia Omari Nundu akielezea mikakati/mchakato wa kutumia reli katika jiji la Dar kupunguza foleni!!!! Mara kujenga reli mpya yenye "STD gauge" kati ya Tanga na Arusha. Nikaishia kusema waache wajidanganye, lakini wa-TZ siku hizi tuna uelewa japo wa kunywea maji...

Sasa haya maneno ya CHIZI, ndo kabisaaa.....
 
ATCL inahitaji Mzalendo wa Kweli, Mwenye sifa zilizotukuka na ambaye atapewa msaada mkubwa na Rais pamoja na baraza lake la mawaziri. Kuna yule jamaa wa zamani wa NSSF (Mr. Matata) nilifikiri yeye atakuwa mkombozi wa hili shirika pale aliposhika hatamu KUMBE alikuwa kama anaganga pensheni na kuishia kutuchorea 'nembo mpya' na kuingia mkataba wa 'kimagumashi'. Tunaweza kuliinua hili shirika kama tukiachana na kuuza sura luningani na kuchapa kazi. Tujifunze kupitia Ethiopia Airline - A proud of Africa!
 
ATCL inahitaji Mzalendo wa Kweli, Mwenye sifa zilizotukuka na ambaye atapewa msaada mkubwa na Rais pamoja na baraza lake la mawaziri. Kuna yule jamaa wa zamani wa NSSF (Mr. Matata) nilifikiri yeye atakuwa mkombozi wa hili shirika pale aliposhika hatamu KUMBE alikuwa kama anaganga pensheni na kuishia kutuchorea 'nembo mpya' na kuingia mkataba wa 'kimagumashi'. Tunaweza kuliinua hili shirika kama tukiachana na kuuza sura luningani na kuchapa kazi. Tujifunze kupitia Ethiopia Airline - A proud of Africa!

Mkuu walilist hili shirika DSE waone kama litakufa kama lilivyo sasa serikali iwekeze kama inavyowekeza CRDB au TTCL au TCC inunue shares 30% or more but wasiingilie uendeshwaji wa shirika. Shirika liendeshwe na wamiliki (shareholders) waliobakia. Vyenginevyo hakuna cha kufufuka hapo tusidanganyane litaendelea kuwa mrija na mtaji wa baadhi ya wanasiasa tu.
 
Jamani breaking news!! ulemradi ulosainiwa jana kati ya mzindakaya na wachina kwa ajili ya kuzalisha umeme megawatss 600mw umegundulika kuwa hukupitiwa na wmwanasheria mkuu,aliwapigia simu jana kuwa wasisaini mpaka aweke comments zao mzinda akataa anataka kuturudisha kule kule kwa SAAFI..Mpeniz Dr.Slaa hiyo alipue
 
Kweli kabisa, hata anavypjibu huyo jamaa anaonesha kuwa ni bomu kabisaaa.

Omar Nundu, Tafuteni CEO wa uhakika . Wapeni hilo shirika wafanya biashara kama Bakhresa waliendeshe, achaneni na mambo ya kuweka waajiriwa kwenye mashirika ya kibiashara, biashara huendeshwa na wafanya biashara na si wanazuoni, wanazuoni huajiriwa tu na wafanya biashara kuweka makaratasi sawa.

Kuendelea kuwa shirika la umma ni kuendeleza kifo na kupotea kwa mtaji.
 
Mtu mwenyewe Chizi, hivi hata chizi ataongoza kweli, chizi, chizi, majibu yake implies his name, chizi kweli, NAAPA IN JESUS NAME, MWAMBIENI JK ANIPE MM HILI SHIRIKA, just 5 years, then i wanna prove something historical, wanitafute nipo hata Dar, i am an aviator, muone, muone, tumechoka
 
Huyo chizi atakuwa chizi kweli Nani kamwambia Swiss na Altalia yamekufa. muongo tena muongo tena muongo kupita kiasi mimi juzi nimetoka rome hapo airport kila dakika 20 inaruka na kutua ndege moja ya Altalia Kihusu swiss imekufa vipi wakati kila ijumaa au jumamosi ipo swiss air Dar Nairobi Zurich Huyo ni chizi kweli
 
Wana Ndege ngapi,......Mbiili (2)! 50 years of independence Shirika La Ndege la Taifa lina ndege Mbili!!! We are A BUNCH OF DI*K HEADS!
 
RwanAir.gif We are a bunch of Retards!

Tutaendelea kupanda Ethiopian Airlines!
 
View attachment 37812We are a bunch of Retards!

Tutaendelea kupanda Ethiopian Airlines!

Mkuu,

Shirika hili lilianza na ndege tatu au mbili zikaongezeka mpaka 15 zikaliwa na mafisadi mpaka kubakia ndege 2. In short kuna watu wanakampuni zao za private hawataki shirika hilo lisimame na miguu yake na isitoshe pia wanasiasa na mafisadi wanatumia ATCL kuwa mrija wa kunyonya pesa za walipa kodi. ATC haitasimama mpaka iwe listed DSE na serikali ijiondoe katika usimamiaji na kuwa mdau (shareholder). Vyenginevyo ni usanii tu unaendelea. Natamani wanipe shirika hili nitalifufua kwa miaka 2 na watu wasiozidi 6 tu!! na wengineo wote fukuzilia mbali.
 
Huyu jamaa sio tu ni mediocre pia ni mwongo.Anataka kutumia uongo kujustify mambo ambayo hayaendani na sheria za biashara huria.

David Cameron mara nyingi amekuwa anatumia budget airlines kama Easy jet within Europe kupunguza gharama .Huyu Paul hajui hata kama UK wangetaka kufanya hivyo bado sheria za EU zingewabana?

Hii imenikumbusha wakati serikali iliruhusu mashika binafsi kununua kahawa yale makampuni makubwa walijenga vinu vyao ambavyo vilikuwa modern na vidogo ukilinganisha na vya serikali ambavyo vilikuwa na size ya football pitch na production ilikuwa ya kusuwa suwa.Mkapa alipokuja kutembelea Tanganyika Coffee Curing Company Limited cha tangu 1950, wakati wa hotuba meneja alimwomba rais kuanzisha sheria ambayo itawalazimisha makampuni binafsi kutumia vinu nya serikali, jibu la Mkapa lilimfanya yule meneja kutokua na raha mpaka mwisho wa ziara.

Mtu kama P Chizi anapewa dhamana kubwa ya kuongoza shirika linalomilikiwa na Watanzania badala ya kuangalia ni matatizo gani yaliifanya ATCL kufa nani mbinu gani ziliweza kufanya mashirika binafsi kufanikiwa lakini ana focus kwenye sheria za 1960s...Kama kawaida hii imekula kwetu!

I hope whenever he speaks won't remind us his surname
 
Kampuni ya ndege ya tanzania imeanza kujaa juu katika soko la anga la tanzania. Hii imetokana na kupata kiongozi anayejua maswala ya anga. Chakushangaza kwa muda mfupi kampuni imeweza kupata vitu vyote muhimu na wataalam wake wameruhusiwa kutengeneza paka ndege zinazotoka majuu.
Tatizo linakuja kwa katibu mkuu omari chambo je atakuwa tayari kuona kampuni inakuwa! Maana yeye mpango wake ni kuuwa makampuni yote ya umaa kama reli na atcl.
Worning
wote walio nunua share kwenye ile kampuni ya kikenya pa precision watapata hasara kubwa
 
Kampuni ya ndege ya tanzania imeanza kujaa juu katika soko la anga la tanzania. Hii imetokana na kupata kiongozi anayejua maswala ya anga. Chakushangaza kwa muda mfupi kampuni imeweza kupata vitu vyote muhimu na wataalam wake wameruhusiwa kutengeneza paka ndege zinazotoka majuu.
Tatizo linakuja kwa katibu mkuu omari chambo je atakuwa tayari kuona kampuni inakuwa! Maana yeye mpango wake ni kuuwa makampuni yote ya umaa kama reli na atcl.
Worning
wote walio nunua share kwenye ile kampuni ya kikenya pa precision watapata hasara kubwa
Habari yako ni ya kufikirika sana kwa sababu zifuatazo:
1.Kampuni ya ndege ya Tanzania ninini hiyo na imezaliwa lini?...huna uelewa wa kutosha!
Shirika la ndege la Tanzania linaitwa ATCL.

2.Shirika hili limeanzisha safari za kwanza juzi likitokea I.C.U, hata wiki haijapita...huko KUJA JUU unakutoa wapi mwenzetu?...Bainisha kabla hujadhalilika!

3....na wataalam wake wameruhusiwa kutengeneza paka ndege zinazotoka majuu.
Huu ni uongo uliobobea...Unaweza kutaja Shirika landege la nje linalotengenezea ndege zake Tanzania?
ATCL wana ,Hanger' sehemu gani lenye vifaa vya kisasa? na Mafundi wamezaliwa lini?

4...Worning
wote walio nunua share kwenye ile kampuni ya
kikenya pa precision watapata hasara kubwa
Wewe ndugu kama ni mganga, basi nenda Nigeria ukaongezee Nguvu ya Transfoma zako, maana zimesha'expire!
Kampuni gani ya Kikenya inayoitwa Pa Precision?
Hasara watakayopata inatokea wapi?...Eleza hoja kwa reasoning, sio kukurupuka toka ndotoni!

Kwa kumalizia, huna hoja na kajipange vizuri!
 
Habari yako ni ya kufikirika sana kwa sababu zifuatazo:
1.Kampuni ya ndege ya Tanzania ninini hiyo na imezaliwa lini?...huna uelewa wa kutosha!
Shirika la ndege la Tanzania linaitwa ATCL.

2.Shirika hili limeanzisha safari za kwanza juzi likitokea I.C.U, hata wiki haijapita...huko KUJA JUU unakutoa wapi mwenzetu?...Bainisha kabla hujadhalilika!

3....na wataalam wake wameruhusiwa kutengeneza paka ndege zinazotoka majuu.
Huu ni uongo uliobobea...Unaweza kutaja Shirika landege la nje linalotengenezea ndege zake Tanzania?
ATCL wana ,Hanger' sehemu gani lenye vifaa vya kisasa? na Mafundi wamezaliwa lini?

4...Worning
wote walio nunua share kwenye ile kampuni ya
kikenya pa precision watapata hasara kubwa
Wewe ndugu kama ni mganga, basi nenda Nigeria ukaongezee Nguvu ya Transfoma zako, maana zimesha'expire!
Kampuni gani ya Kikenya inayoitwa Pa Precision?
Hasara watakayopata inatokea wapi?...Eleza hoja kwa reasoning, sio kukurupuka toka ndotoni!

Kwa kumalizia, huna hoja na kajipange vizuri!
Huenda alikuwa kashikiwa mtutu wakati wa kuandika habari hii.
 
Kampuni ya ndege ya tanzania imeanza kujaa juu katika soko la anga la tanzania. Hii imetokana na kupata kiongozi anayejua maswala ya anga. Chakushangaza kwa muda mfupi kampuni imeweza kupata vitu vyote muhimu na wataalam wake wameruhusiwa kutengeneza paka ndege zinazotoka majuu.
Tatizo linakuja kwa katibu mkuu omari chambo je atakuwa tayari kuona kampuni inakuwa! Maana yeye mpango wake ni kuuwa makampuni yote ya umaa kama reli na atcl.
Worning
wote walio nunua share kwenye ile kampuni ya kikenya pa precision watapata hasara kubwa

Ndugu unatafuta kuaibishwa tu kwa kuandika vitu visivyoeleweka! Yaani hapa wewe mwenyewe hujui ulitaka kuandika nini. Haya ngoja Great Thinkers wakushukie! Mie simoo!
 
Serikali iache kuingilia maamuzi ya mashirika. Angalia TANESCO walivyobambikiziwa Richmond.
 

home+sub+2+pix.jpg
An Air Tanzania airplane. Photo/FILE By HELLEN NACHILONGO AND DORITHY NDETEKELA

Posted Sunday, November 20 2011 at 18:55

Tanzania is seeking $500 million to purchase new medium and long range aircraft to stabilise the operations of the ailing national carrier and increase its flights to domestic and international destinations.

The government said the financing of Air Tanzania Company Ltd (ATCL) was being discussed with the aim of purchasing eight new aircraft.

Export Development Canada (EDC) has already agreed to support ATCL, and discussions with experts from Canada to acquire the aircraft will be held starting November 21.

The company intends to buy both second hand and brand new aircraft arguing that buying new planes only would too expensive.

The managing director and chief executive officer of ATCL, Paulo Chizi, said the airline needed nine planes to operate consistently.

The company had not made any orders for the new planes because the firm had just resumed operations and "it was too early to enter into partnership with other companies."

At the moment, the company has only two aircraft, with one in operation and the other undergoing maintenance.

The delegation from Canada will comprise engineers and aviation experts.

The experts will assess the airline's five-year strategic plan with a view to helping the airline acquire financing.

Once the EDC delegation is satisfied with the plan, it will help acquire a long-term loan to purchase planes from Canada's aircraft and trains manufacturer, Bombardier.

"This will enable ATCL to buy the planes by February 2012 from Bombardier," said Mr Chizi.

Experts say that ATCL should prefer to buy ATR planes rather than Canadair Regional Jet (CRJ) due to the fact that ATR planes are fuel efficient.

Canadian High Commissioner to Tanzania Robert Orr said it was a big step for ATCL to be back in business and "honourable for the management to restart the operations of the company that was half dead for four years."

"For the efforts ATCL has shown, I promise to connect it with other companies dealing in air transportation so it can accomplish its strategic plan," said Mr Orr.

The firm expects to fly domestic routes to various regions, including Kigoma, Tabora and Mbeya.

After operating for one month, it would expand its routes to Arusha, Zanzibar, Bukoba, Dodoma and Shinyanga.

Rivals to ATCL such as Precision Air, Fly 540, Kenya Airways, and Coastal Aviation have benefited from the vacuum created by the national carrier in Tanzania's fast growing aviation market. Mr Chizi told The EastAfrican that in the next five years, the firm expects to have at least 11 aircraft operating.

"The company is now planning to deploy small capacity jet aircraft that will be operating locally, while medium-sized jets are expected to operate in the region before acquiring wide body aircraft for international operations," said ATCL.

ATCL has signed a code share with Jetlink Express, a Kenyan firm that flies on the Nairobi, Dar es Salaam and Mwanza routes.
 
$ 500 Mill - how Many hands will that money pass through? and how Many stomach's will it feed before the plane's bought?

Who will Authorize? the ruling party or the parliament?
 
Back
Top Bottom