Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nimefurahi kuona mabadiliko kidogo
kama waswahili wasemavyo mficha uchi azai jamani nimeona nisiwe hivyo
katika biashara yoyoyte hakuna biashara inayofanyika bila matangazo
watu wengi wamekuwa wakifikiri biashara ni bahatai hata wale ndugu zetu
ukiwaona pale las vegas kabla ya kukukaribia wanakwambia ""my milk is standing""
unabaki wewew kuangalia pochi yako imejaa uchina ama ??
Ndugu zangu atcl nimefurahi kuona juhudi mlizoanzisha katika kujitangaza inapendeza
kuona unapita kwenye mabango unakuta twiga amesimama ni furaha ilioje
wito wangu
msikate tamaa biashara ni imani na jioni ni mahesabu najua mmeanza ila itachukua muda
kuwa kwenye level msije kuacha kufanya juhudi mkilinganisha na matumzi siku zote mnajitangaza
then watu wanakuja ni wajibu wa kila mmoja mtanzania kuona mnapanua wigo wa safari
zenu mikoa mingine zaidi na zaidi nje ya nchi upanuaji huu auendani kwa mdomo bali kwa vitendo twaamin
majukumu mliobebeshwa wahshimiwa mtaweza kuyakabili na kuliona shirika letu likirudi tena kwenye system
mungu ibariki tanzania mungu ibariki atcl
kama waswahili wasemavyo mficha uchi azai jamani nimeona nisiwe hivyo
katika biashara yoyoyte hakuna biashara inayofanyika bila matangazo
watu wengi wamekuwa wakifikiri biashara ni bahatai hata wale ndugu zetu
ukiwaona pale las vegas kabla ya kukukaribia wanakwambia ""my milk is standing""
unabaki wewew kuangalia pochi yako imejaa uchina ama ??
Ndugu zangu atcl nimefurahi kuona juhudi mlizoanzisha katika kujitangaza inapendeza
kuona unapita kwenye mabango unakuta twiga amesimama ni furaha ilioje
wito wangu
msikate tamaa biashara ni imani na jioni ni mahesabu najua mmeanza ila itachukua muda
kuwa kwenye level msije kuacha kufanya juhudi mkilinganisha na matumzi siku zote mnajitangaza
then watu wanakuja ni wajibu wa kila mmoja mtanzania kuona mnapanua wigo wa safari
zenu mikoa mingine zaidi na zaidi nje ya nchi upanuaji huu auendani kwa mdomo bali kwa vitendo twaamin
majukumu mliobebeshwa wahshimiwa mtaweza kuyakabili na kuliona shirika letu likirudi tena kwenye system
mungu ibariki tanzania mungu ibariki atcl