Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Nimejikuta nacheka badala ya kusikitika. Hivi hao wabunifu wa hizo uniform zinazogharimu mamilioni yote hayo hawajawahi hata kupanda ndege moja wakajifunza cabin crew wa wenzao wana uniform za namna gani? Duh, wauza bar wa Rombo green view wana uniform bomba sana kuliko hizi, na zimewaghalimu less than milioni mbili kuzishona. Hapa kwa kweli wanaomtetea Chizi na wenyewe ni machizi tu. Huyu akamatwe afungwe kabisa pumbafu zake.
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.