ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

Hata waimba kwanya wa Rose Mhando wanapendeza kuliko hizi uniform za mama ntilie. Mimi hata angeniambia moja laki mbili bado ningemdunda kibuti-kazi
 
Hiyo haitoshi, walipelekwa maofisa wawili eti kuzisimamia zishonwe. wacha Chisi afukuzwe, jizi kubwa

Kumfukuza kazi mtu kama Chizi peke yake ktk taasisi kama ATCL hakutoshi lazima kuna mrorongo mrefu wa wasaidizi wake amabao walikuwa watiifu kwake na ndio maana baada ya huyu jamaa kutimuliwa kuna watu wamepinga Mwakyembe hao nao ni wakutimuliwa tu!!

Hivi sheria gani zinawaogofya akina Mwakyembe kutimua hayo majitu wakati watu wanaoweza fanya kazi hizo ni wengi tena pengine amabao ni wazalendo wa kweli???
 
Mliomtukana Mwakyembe jana muombe radhi sasa
Mwakyembe anapayuka ili kujustify usanii wa kumuweka binamu yake. Mpaka CAG atakapokagua hapo na kuthibitisha hayo matumizi ndo nitaamini. Amejumlisha gharama za safari na malazi ya hao maafisa kwenye uniform bila ya kueleza cost per unit uniform ni shs ngapi. Sasa mitanzania mijinga ikishaona tu inakurupuka na kusema huu ni ufisadi. Haiingii akilini maafisa wa shirika waende kushona nguo uchina halafu wakae huko huko kuzisubiria. Tupate taarifa kutoka upande wa pili ndio tufanye judgement. We hujiulizi kwa nini Mwakyembe alikuwa anaongea kwa jazba na kutokwa na mapovu?? Anataka kuficha kukurupuka kwake.
 
Mtoamada asante kwa taarifa. Yangu ni haya:
i. ATCL itafute designer mzuri wa kuwatengenezea nguo hapa hapa nchini na wapo wengi sana na wazuri.
ii. Hizo colour jamani zimefifia saaaanaaaa hata hawaonekani tena kama ni warembo / smart.
iv. Zamani usaili wa watumishi wa kwenye ndege ulikuwa na vigezo fulani fulani, je siku hizi hakuna?
v. Hizo uniform haziridhishi ni vizuri zikabadilishwa haraka ili ziendane na wakati na mazingira katika ushindani mkubwa ambao ATCL wanao.
v. Rangi za bendera yetu ni nzuri ukimuweka na twiga wetu unaweza kupata kitu chema chenye mvuto.

ATCL asanteni kwa kuamka mnatutia moyo watanzania jitahidini ushindani ni mkubwa, mtupe raha tujivunie utanzania wetu.
 
Mbona hazina Taswira ya taifa?
Kweli Chizi ni chizi i see jamaa wamekaa miezi miwili wanasimamia viuniform hivi
 
Jamani hii nchi imeoza, inahitaji ukombozi wa nguvu - inahitaji serikali ambayo itakuwa ikisikia Challenger amefisaji haraka sana wanakuja nyumbani kwangu na kuchukua kile kinachowezekana ambacho kitaringana na dhamani ya ufisaji halafu kwenda gerezaji ili kwenda kujifunza uzalendo na uzawa.

Huu mtiririko wa wizi ukianzia juu ni vigumu sana kuu-control kuliko ukianzia chini. Mfano iwapo mtoto akichemka ni rahisi sana kumuonya na kumhadabisha iwapo wewe baba ni muadilifu - ndipo nina maana wizi ukianzia chini ni rahisi kuu-control. Aidha ikiwa baba nimekubuhu kufanya madudu mtoto akifanya yale yale sitapata nguvu ya kumuonya na kumuadabisha.

Hii ndiyo hali halisi madudu, wizi, ufisadi umeanzia toka pale Magogoni - "White House", je unategemea rais atamwambia nini waziri, waziri atamwambia nini Katibu, makatibu na mwaziri watawaambia nini wakurugenzi, hivyo hivyo hadi chini iwapo wooote hawa ni wezi.

Nchi hii ina kundi kubwa la viongozi ambao hawana uchungu na nchi hii!!

Ingawa si kweli uyasemayo kuhusu wizi kuanzia magogoni sehemu ambayo Mwalimu alisema anaamini ni takatifu maana naamini kama maneno aliyosema kuhusu nutakatifu katika eneo hilo basi alipoondoka tu madarakani utakatifu huo uliisha.
Aidha nakubaliana nawe maana hata wakati ule nasoma katika shule ya Msingi Minazi Mirefu maeneo ya Banana tuliwahi sikia Ndg. Lwatonga kakamata mali za Mama Siti Mwinyi , Akaja Beni naye akafanya Mabiashara hapo hapo Ikulu. Kaja huyu naye haishi kusema wezi wote anawajua, wala rushwa anawaju, wauza unga anawajua, wapiga dili anawajua lakini hakunqa kinachofanyika zaidi tunaonqa nchi yetu ikiteketea tu kila siku yaani tabu tupu. Wananchi wanaqsteseka kila siku.... huku Mawaziri, Wabunge, Makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika yetu wakiiba mchana kweupe.
 
Duh,baada ya kumsikiliza Dr. Mwakyembe,nimeamini hii nchi ina zaidi ya uozooooo.Mikataba ya kijinga kabisa.Kwa hapo mimi namuunga mkono asilimia 100% kwa kuwapiga chini hiyo top management, maana haibebeki.UNIFORMS kwa usd 49,000?Tena Jozi 17 tuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.I'm very dissapointed,no wonder why watu wanakwepa kodi kwasababu ya huu upuuzi.Na watanzania walioko ughaibuni hawataki kurudi kwa ajili ya haya maduduz
 
Wangetafuta basi angalau wadada wazuri wazuri zikawapendeza...
 
attachment.php
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
Kitenge/batiki kwa usd 49,000 duh!!
 
Uniform sio hizi hawa na wanafunzi wa u-cabin crew kwenye chuo cha ATCL

Wewe nawe! Wanafunzi! Hata kama sio hizi we unakubaliana na hizo uniform za 50thao usd? Hata ukimuuliza mama manka pale kijijini ambaye hajui hata kusoma na kuandika atakujibu kuwa huo sio ukweli! Jama tuone na aibu sasa.
Nafikiri tiba sio kumsimamisha kazi tu! Am sure Dr Mwakyembe anapita humu! Wapandishwe KIZIMBANI MARA MOJA!
Ujinga gani huu. Yaani hatuna imani na hata mtu mmoja jamani!
Tumeshambuliwa na kirusi fulani hivi! Majority ya watendaji wetu wameshambuliwa na KIRUSI CHA UFISADI (KCU)
 
Mwakyembe anapayuka ili kujustify usanii wa kumuweka binamu yake. Mpaka CAG atakapokagua hapo na kuthibitisha hayo matumizi ndo nitaamini. Amejumlisha gharama za safari na malazi ya hao maafisa kwenye uniform bila ya kueleza cost per unit uniform ni shs ngapi. Sasa mitanzania mijinga ikishaona tu inakurupuka na kusema huu ni ufisadi. Haiingii akilini maafisa wa shirika waende kushona nguo uchina halafu wakae huko huko kuzisubiria. Tupate taarifa kutoka upande wa pili ndio tufanye judgement. We hujiulizi kwa nini Mwakyembe alikuwa anaongea kwa jazba na kutokwa na mapovu?? Anataka kuficha kukurupuka kwake.

Na wewe utakuwa mnafaika wa ufisadi. Acha kutetea ujinga pumbafuuuuuuuuuuuuu............weeeeeee
 
Wamependeza sana kusema ukweli kuliko hata wale wa Ethiopia, sema wangeweka rangi za Taifa pia kwenye mavazi yao.

Hiyo 49,000 hujatuambia ni kwa uniform ngapi, acha majungu kijana.
 
Mbona unadandia basi kwa mbele wewe mi nilichosema kwamba uniform sio hizo zilizoko kwenye picha zilizowekwa sasa swala la nakubaliana na usd 50 wapi nimeliongelea kwenye thread yangu watu wengine bwana sio wametoka usingizini,hebu kakojoe ukalale.....

Wewe nawe! Wanafunzi! Hata kama sio hizi we unakubaliana na hizo uniform za 50thao usd? Hata ukimuuliza mama manka pale kijijini ambaye hajui hata kusoma na kuandika atakujibu kuwa huo sio ukweli! Jama tuone na aibu sasa.
Nafikiri tiba sio kumsimamisha kazi tu! Am sure Dr Mwakyembe anapita humu! Wapandishwe KIZIMBANI MARA MOJA!
Ujinga gani huu. Yaani hatuna imani na hata mtu mmoja jamani!
Tumeshambuliwa na kirusi fulani hivi! Majority ya watendaji wetu wameshambuliwa na KIRUSI CHA UFISADI (KCU)
 
Back
Top Bottom