Mbona naona hawa watoa huduma kwa mteja ndani ya ndege ni watu wazima sana. Kwa uzoefu wangu ndege nyingi zinakuwa na watoa huduma vijana (25 to 35 year), lakini hawa, licha ya make up zao naona umri umeenda kiasi. Kama viwango vimerekebishwa, basi watangaze nasi tuliokomaa tukaruke na wings of Kilimanjaro, ila mimi nitataka trip za nje tu, kwani nasikia ndiyo utaratibu kama mtoa huduma unaujuzi mkubwa wa kuongea hizi lugha za wenzetu, na mimi nimo!!!!
:majani7: