Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Nimetanguliza ANGALIZO kwamba ni Great Thinkers Membar, ndiyo ningeomba wanichangie katika agenda hii mezani.
Mizaha, Utani, Kubeza, Mas'khara, Uchakachuaji wa Thread ni vitu viendeleavyo kukua hapa Kijijini kwetu siku baada ya siku.
Ukishajiyakinisha sifa tajwa husika unazo karibu shuka na uzi, laa hujiamini chagua kona ya kukata.
____MADA____
wewe ni mfanyakazi mwenye fani aidha iwe ni Daktari, Fundi umeme, Muhasibu ilimradi una utaalamu flani.
Ukafika wakati nchi yako imetangaza state of emergency na siku chache badae nchi yako ikaingia vitani.
Kupitia amri ya mkuu wa nchi unateuliwe ufatane na briged za jeshi kufuatia utaalamu wako.
Kwa bahati mbaya vita inaisha uwepo wako kikosini unaleta utata, idadi kubwa ya wanajeshi uliokuanao wanatoa ushuhuda kwamba walikuona umeripukiwa na Bom na hivyo wewe ni RIP ! Idadi ndogo ya wanajeshi wana'declear kutokuwa na uhakika which is which.
Kumbe wewe ukweli wa mambo umetekwa nyara na majeshi pinzani.
Jeshi pinzani linaku'hold takriban kwa miaka 10. Huku nyuma umeacha mke na watoto wawili.
Wanajeshi wa nchi waliporejea pale vita imeisha walikuja na taarifa kwamba wewe ulikufa.
Ambapo baada ya mwaka 1 wa maombolezo mkeo alipitia taratibu zote za kisheria kuhusu kifo chako na akaolewa na mwanaume mwingine (Ndoa iliopitia taratibu zote za kisheria kama ulivyooa wewe).
Baada ya miaka 10 kupita wewe unaachiliwa, unafika kwako unakuta mkeo ameolewa na ana mtoto mmoja.
Haya yamekutokea wewe Great Thinker Unafanyaje ?
Mizaha, Utani, Kubeza, Mas'khara, Uchakachuaji wa Thread ni vitu viendeleavyo kukua hapa Kijijini kwetu siku baada ya siku.
Ukishajiyakinisha sifa tajwa husika unazo karibu shuka na uzi, laa hujiamini chagua kona ya kukata.
____MADA____
wewe ni mfanyakazi mwenye fani aidha iwe ni Daktari, Fundi umeme, Muhasibu ilimradi una utaalamu flani.
Ukafika wakati nchi yako imetangaza state of emergency na siku chache badae nchi yako ikaingia vitani.
Kupitia amri ya mkuu wa nchi unateuliwe ufatane na briged za jeshi kufuatia utaalamu wako.
Kwa bahati mbaya vita inaisha uwepo wako kikosini unaleta utata, idadi kubwa ya wanajeshi uliokuanao wanatoa ushuhuda kwamba walikuona umeripukiwa na Bom na hivyo wewe ni RIP ! Idadi ndogo ya wanajeshi wana'declear kutokuwa na uhakika which is which.
Kumbe wewe ukweli wa mambo umetekwa nyara na majeshi pinzani.
Jeshi pinzani linaku'hold takriban kwa miaka 10. Huku nyuma umeacha mke na watoto wawili.
Wanajeshi wa nchi waliporejea pale vita imeisha walikuja na taarifa kwamba wewe ulikufa.
Ambapo baada ya mwaka 1 wa maombolezo mkeo alipitia taratibu zote za kisheria kuhusu kifo chako na akaolewa na mwanaume mwingine (Ndoa iliopitia taratibu zote za kisheria kama ulivyooa wewe).
Baada ya miaka 10 kupita wewe unaachiliwa, unafika kwako unakuta mkeo ameolewa na ana mtoto mmoja.
Haya yamekutokea wewe Great Thinker Unafanyaje ?