RAIA yeyote atakayepatikana amevaa vazi la jeshi au linalofanana na vazi hilo atatumikia kwenda jela miaka 20.
Rai hiyo imetolewa mjini Dodoma Bungeni na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Hussein Mwinyi wakati alipokuwa anafafanua juu ya kufuata sheria ya mavazi hayo kwa wananchi.
Mwinyi alisema kuwa kuanzia sasa mtu yeyote ambaye ni raia wa Tanzania atakayeonekana amevaa vazi la Jeshi la Wananchi wa Tanzania [JWTZ] kiholela ambaye hausiki kwa namna moja ama nyingine na vazi hilo atatumikia kifungo cha kwenda jela miaka 20.
Source: http://www.nifahamishe.com
Rai hiyo imetolewa mjini Dodoma Bungeni na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Hussein Mwinyi wakati alipokuwa anafafanua juu ya kufuata sheria ya mavazi hayo kwa wananchi.
Mwinyi alisema kuwa kuanzia sasa mtu yeyote ambaye ni raia wa Tanzania atakayeonekana amevaa vazi la Jeshi la Wananchi wa Tanzania [JWTZ] kiholela ambaye hausiki kwa namna moja ama nyingine na vazi hilo atatumikia kifungo cha kwenda jela miaka 20.
Source: http://www.nifahamishe.com