Atakaye kugombea miaka ijayo aanze kujiandaa usafi kuanzia sasa hivi yasijemkuta ya Lowassa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Ukitaka kugombea cheo chochote miaka ijayo anza kuchapa sana kazi sana sasa hivi na kuwa msafi kuanzia sasa hivi,yasije kukuta ya Lowasa ambaye Alitamani sana kuwa Raisi lakini eneo la kuwa msafi hakulitilia maanani alipokuwa madarakani ikala kwake.Jifunzeni kwa Lowasa.
Lowasa ni somo zuri sana.
 
Ukitaka kugombea cheo chochote miaka ijayo anza kuchapa sana kazi sana sasa hivi na kuwa msafi kuanzia sasa hivi,yasije kukuta ya Lowasa ambaye Alitamani sana kuwa Raisi lakini eneo la kuwa msafi hakulitilia maanani alipokuwa madarakani ikala kwake.Jifunzeni kwa Lowasa.
Lowasa ni somo zuri sana.

Mavuvuzera watakuangushia matusi maana weredi wao ndo huo ,
Lkn
Sisi wajuzi huo ndo ukweli,
Tangu 1993 lowasa alipoanza harakati za kwenda ikulu na baba wataifa akanyoshea kidore ZIDI ya wizi wake akiwa mkurugenzi ICC ,
So
Labda niwape somo wanaokupinga kila aliyeshoshewa kidole na baba wa taifa hakufanikiwa kisiasa,
 
Mleta mada jinga na pumbavu
Unaweza ukatukana sana lkn haisaidi Bali chukua muda kutafakari mambo,
El tangu 1993 anasaka urais adi Leo ,
Ukweli ni hivi kama mungu hajakupanga hata ufanyeje,mamlaka zote duniani zinapagwa na mungu
Lowasa sio chagua LA mungu Bali viroba vya pesa ndo vinamfanya hajione bora,
 
Mkuu umeongea ukweli hapo kwny "usafi" lkn ulipomtolea mfano "mr.lowassa" umewatouch watu ndo maana wamepanick ila ukweli utabaki palepale kwamba anayetaka nafasi ya juu lazima awe mchapakazi na MSAFI...
 
Ukitaka kugombea cheo chochote miaka ijayo anza kuchapa sana kazi sana sasa hivi na kuwa msafi kuanzia sasa hivi,yasije kukuta ya Lowasa ambaye Alitamani sana kuwa Raisi lakini eneo la kuwa msafi hakulitilia maanani alipokuwa madarakani ikala kwake.Jifunzeni kwa Lowasa.
Lowasa ni somo zuri sana.
Na hilo neno. Wenye masikio wasikie!
 
Lowassa aliamini Fedha za Ufisadi zitamfikisha Ikulu kama zilivomfikisha Shosti wake wa zamani!
Bahati ya Mwenzio usiilalie pumbu wazi!
 
Ukitaka kugombea cheo chochote miaka ijayo anza kuchapa sana kazi sana sasa hivi na kuwa msafi kuanzia sasa hivi,yasije kukuta ya Lowasa ambaye Alitamani sana kuwa Raisi lakini eneo la kuwa msafi hakulitilia maanani alipokuwa madarakani ikala kwake.Jifunzeni kwa Lowasa.
Lowasa ni somo zuri sana.
umesema ukweli kabisa na najua hata hao wanaokukebehi wanakubali kimoyomoyo japo wanaandika kebehi humu.
 
kama ingetokea rais ndie angechaguliwa kuwa mgombea wa ccm na baadae akawa rais tungeona wanasiasa wakijiandaa kukusanya pesa za madawa ya kulevya,rushwa,ujangili,ujambazi wa kila aina ili baadae waje kuwa marais wa Tanzania
CCM waliona mbali kwa manufaa ya kizazi kijacho
 
Mavuvuzera watakuangushia matusi maana weredi wao ndo huo ,
Lkn
Sisi wajuzi huo ndo ukweli,
Tangu 1993 lowasa alipoanza harakati za kwenda ikulu na baba wataifa akanyoshea kidore ZIDI ya wizi wake akiwa mkurugenzi ICC ,
So
Labda niwape somo wanaokupinga kila aliyeshoshewa kidole na baba wa taifa hakufanikiwa kisiasa,
=ZIDI ya wizi=
 
Mavuvuzera watakuangushia matusi maana weredi wao ndo huo ,
Lkn
Sisi wajuzi huo ndo ukweli,
Tangu 1993 lowasa alipoanza harakati za kwenda ikulu na baba wataifa akanyoshea kidore ZIDI ya wizi wake akiwa mkurugenzi ICC ,
So
Labda niwape somo wanaokupinga kila aliyeshoshewa kidole na baba wa taifa hakufanikiwa kisiasa,
==ALIYE SHOSHEWA KIDOLE==
 
Back
Top Bottom