Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
ndoa yake ivunjwe kwa madai kuwa amebaini mkewe ni kikongwe
halafu
baada ya miaka minane aligundua kuwa mkewe hakuwa kigori na kwamba alishazaa na tayari ana wajukuu watano
Haya maneno mawili yanawakilisha nini katika habari hii "Kikongwe" na "Kigori"?