akigombea poa coz akichaguliwa ina maana watu wameona anafaa! tusilaumu kisa eti ni mtoto wa prezidaaa inawezekana hata ni kichwa kuliko prezidaaa!! watanzania tumejijengea ktu cha ajabu sana tena sana kiasi kwamba hata kizuri sasa hv tutakiona worse kikiwa worse ndo tunaoa yeap! lets think big!