mmmmmh, the big boss hv gubu ni kama kumfanyiaje ndo gubu
mhhh:hand:gubu ni kumsumbua mumeo na matatizo yako..
Mfano mwenzio amerudi unaanza ooho ile pesa ya asubuhi niliyokuambia
ipo wapi?
Mara sijui nani alikuja kasema upuuzi gani....
Na mazungumzo yeyote yasiyo na maana.....
Wanaume tukirudi nyumbani kwanza tunataka space....
Na ukimya wa mda fulani hivi.....
Unasoma magazeti na kubadili channel za tv huku unawaza taratibu....
The last thing unachotaka ni mwanamke asie jua kunyamaza....
mhhh:hand:
kama nalala saa kumi asubuhi yeye arudi saa tisa usiku? hapana AW,awahi kurudi mle chakula cha jioni pamoja,acheze na awasaidie watoto homework,asaidie kazi ndogo ndogo za nyumbani na apate hata wasaa wa kuzungumza na mwenzi wake......!!
kumbe wengine tumefanya la mbolea kuamua kufa waseja:rain:
boss, kwa hyo wanaume wanapenda wanawake wakimya au waongeaji?
sasa useme nini akati huishi na mwanaume?zaidi utachangia unafki na uongo tu.Ngoja kwanza wenye wanaishi na wanaume watuambie, halafu na mimi nitasema.
michelle and others!, akirudi kuanzia saa tano to saa saba, is it fair.
michelle and others!, akirudi kuanzia saa tano to saa saba, is it fair.
tutapewa tuzo mbinguni kwa useja......hivi mwanaume anarudi saaa saba nane usiku akitoka wapi wa kazi gani,kwanini asilale huko kabisa,kisa nyumba ni yake au analipa yeye bills? labda kama kazini....si bar/club kunywa bia na wenzie na kufurahisha macho na malaya......!!!nani anawafungulia mlango kwanza? labda aweke mlinzi,yaani mimi mkewe niamke usiku kufungua.....Heaven forbid,atarudi alikotoka au alale nje!
Karaha za nini maisha yenyewe mafupi haya Michelle mpendwa wangu,hivi wanajua hata maana ya ndoa hawa jamani,kuna tofauti gani kati ya mwenye mume na asiye naye,nadhani siku nikijua hiyo tofauti ntatafuta mume wa kunioa kinyume chake kulia na kucheka yote ni makelele...tutapewa tuzo mbinguni kwa useja......hivi mwanaume anarudi saaa saba nane usiku akitoka wapi wa kazi gani,kwanini asilale huko kabisa,kisa nyumba ni yake au analipa yeye bills? labda kama kazini....si bar/club kunywa bia na wenzie na kufurahisha macho na malaya......!!!nani anawafungulia mlango kwanza? labda aweke mlinzi,yaani mimi mkewe niamke usiku kufungua.....Heaven forbid,atarudi alikotoka au alale nje!
ataleta :blah::blah::blah: bora alale hukohuko mpuuzi mmoja...LOL. Michelle, atarudi alikotoka, na atarudi mazima! kwa nini usimfungulie ujue kilichomsibu?
Hey, pope, wewe pia unapataga hii heaven forbid?LOL. Michelle, atarudi alikotoka, na atarudi mazima! kwa nini usimfungulie ujue kilichomsibu?
Boss jaman ukimya gani hapa mnauhitaji?yaani ukifika home usisemeshwe kwanza mpaka upoe engene? kuna vitu vingine labda nilikuwa nakusubiri kwa hamu nikueleze tupeane maushauri.gubu ni kumsumbua mumeo na matatizo yako..
Mfano mwenzio amerudi unaanza ooho ile pesa ya asubuhi niliyokuambia
ipo wapi?
Mara sijui nani alikuja kasema upuuzi gani....
Na mazungumzo yeyote yasiyo na maana.....
Wanaume tukirudi nyumbani kwanza tunataka space....
Na ukimya wa mda fulani hivi.....
Unasoma magazeti na kubadili channel za tv huku unawaza taratibu....
The last thing unachotaka ni mwanamke asie jua kunyamaza....