Wakati hali ya muungano ikiwa tete hebu tuchukulie umeshavunjika alafu mchakato wa kugombea uwakilishi visiwani utakuwaje wale wa kule vs wa jamhuri si patakuwa hapatoshi au watakata tena yaongezeke majimbo ya uwakishi kwa hili naona bora watatue kero za muungano mana ukivunjika wengine wakirudi kule watakosa pa kugombea na kukalia benchi....ni mtazamo tu