jaribu huduma ya kwanza, chuchumaa chini then fanya kama unapush, itatoka. Me ishanitokeaga mara kibao
Kuna mtu iliwahi kubaki akaambiwa inatakiwa atolewe hadi kizazi.
hata mimi nilimsikia huyo mtu.....tena wakati wanamtoa kizazi wakakosea wakamchubua maini......