Wakuu habari zenu; Jamani naombeni msaada for the past two month napata shida sana kufungua official mail yangu ya yahoo.Ilikuwa ivi,niliwazima mtu laptop katia kufanya kazi zake akaremove firefox,nilivyokuja kuinstall upya hapo ndo matatizo yalipoanza ,maisl nashinwa kuacess ila other activies kwenye website nyingine zinafanyika nikawa nafungua through access mode,for two weeks imekubali sasa ndo imegoma kabisa,IE ndo kabisa nikanza tu kutype mail off it goes,natumaini nimeeleweka kiasi flanni naombeni saada please!