Big up kwa kina mama wote ambao wamezaa na kidumu bila waume zao kushtukia. Nawatakia a very adventurous 2012!
teh teh teh! Kweli mkuu nawahi bar!
Najua sana ndo mana yake....Sasa wewe unapongeza waume wazinifu waendellee kuzini na waisihi kwa amanii>.<.Shekh,asalam aleykum ni salam ya kiarabu meanz aman iwe juu yenu,
mkuu nimeelewa nilikuwa nawakatisha taamaa wale wanaojitayarisha kukusubiri ukishalewa wakwambie umekunywa bia saba
kumbuka kuweka chupa chini kila unapokunywa usikubali wachukue umekwisha hasa
DIDYGARDEN
BREAKDIDY
Kuwa makini ukiona anahuduma nzuri usiache kumoa 500 impe tafu kwenda 2012 mkuu
jana nilikuwa breakdidy namama didy mbele kuna kabinti kanapewa inatwaje vile kastolaiti bana kanywa nne jamaa mmoja akaanza binti alipokwenda chooni akakuta jamaa wa pili nae kaaaaanza aisee short kama wamjua asiende kudai bili kapeleka 42,800 binti na pombe kaaanza kuchekaaaaa akanifurahishaaaa akasema """nasikiaaaaaaaaaaaaaaa utaaaaaaaaaamuuuuuuuuuuuu""""mwishowe niliona wakachukua simu yake kwa makubaliano mabinti muwe makni hasa siku za kumalizia mwaka yanaibuka mapepo ya ajabu ajabu bana yanakupa ofa alafu yakikinai yanakuacha ukidaiwa bili
na wewe nakupa assalam alheikum
na wewwwewwwwwwwwww uliosoma ukaogopa kujibu ukihisi nimekuona kwenye a/c za sinza nawe nakupa asaaaaaalhhhhaaaaaaaaaaam alheikhum natumaini tanesco wataongeza bei mwakani umeme kama walivyotuhaidi ili bei za vyumba ziongezeke ubaki kutembea na mkeo milele
ahsante Mkuu,salam maridhawa zimefika,tuombe uhai tuvuke salama 2011 ili tuendeleze u infiii!!!!!wazinzi nao nawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaapa aslaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam alheeeeeeeeeeeikhum maaaaaaaaaana mwakani ndoa kwao inaendeleeeeeeeeea akubaki jina nawe juu nakupa asaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalahaaaaaaaaam aleikhuuuuuuuuuuuuummmmmmmmm