afu shemeji nimekumiss ujue! Kam this way pulizzzzzzz!
ijumaa maqbool Rejao! lolJumaa Kareem... Bishanga, Asprin, Kongosho, Smile, Erickb52, ruttashobolwa, cacico, Yummy, BADILI TABIA, Catherine, charminglady, Kaizer, sweetlady
Honey achana Bishanga come this way hun..... si wajua navokumisi na leo wikiendi ishaanza? Shhhhh usiwastue Yummy na BADILI TABIA leo nataka nikufaudu wewe peke yako... vaa kale kamini keusi tafazaliKhaaaaaaaaaaaa! Hivi wanga wapo hata mchana??? Khaaaaaaaaaa, mbona maneno kuntu kwa hubby jamanii!
anafaa nimempitisha! lol! muulize mwenyewe kama kakubali! sidhani kama Yummy na BADILI TABIA wana kikwazo! ngoja niwaulize kwanza!
Jumaa Kareem... Bishanga, Asprin, Kongosho, Smile, Erickb52, ruttashobolwa, cacico, Yummy, BADILI TABIA, Catherine, charminglady, Kaizer, sweetlady
Kama unatoka na shem wako usitoke na hii makitu nlokununulia Dubai asee.... Nna wivu balaa!!afu shemeji nimekumiss ujue! Kam this way pulizzzzzzz!
khaaaaaaaaaaaaa! ugomvi wangu na ww wa leo asubuhi, umekwisha! nimesamehe, khaaaaaaaaaa my ribs, we sio mzima wallah, huwa unawaza nn jamani?Sante mheshimiwa... kwa sisi wengine leo ni ..........
sitoki nayo hubby! anunue vyake na yeye shemeji khaaaaa!Kama unatoka na shem wako usitoke na hii makitu nlokununulia Dubai asee.... Nna wivu balaa!!
Orayt... basi mwambieni sweetlady asiendelee kunifuatafuata, nyie mnanitosha sasaanafaa nimempitisha! lol! muulize mwenyewe kama kakubali! sidhani kama Yummy na BADILI TABIA wana kikwazo! ngoja niwaulize kwanza!
mweeeeeeeeeee!!!! huyo atakuwa twin wangu Eversmilin Gal sio mimi!!!Bwana Bishanga hebu niache kwanza nijiburusishe na wajukuu zangu bana! Kuanzia mbele kurudi nyuma Yummy, BADILI TABIA, cacico, na Catherine. Wa nyuma ni Kongosho, charminglady na princess enny
chezeiya mke mdogo weye?? Na wenzangu nao nalala nao! Si unajua mautamu ya 5some??