Huyu jamaa hawezi kuwa "JF man of the year" labda ubadili hiyo title iwe "mmu man of the year" lakini kwa jf yote no. Ana mchango gani kwenye majukwaa mengine zaidi ya humu mmu? You guys are not serious!
Sasa mkuu,Kama walivyo Watanzania wengine wakati wa Uchaguzi Mkuu, hamtaki kushiriki kwenye Uchaguzi japo Thread zimekuwa hapa 1-2 weeks. Washindi wakipatikana kihalali mnaanza kulalamika.
Subiri uchaguzu ujao Mkuu wa 2012 utampigia unayetaka au hata kumfanyia kampeni.
QED
Aisee kumbe kuna zawadi?
Tusker Malt zitanikomaje?
Naomba wanaotaka kujumuika nami katika kuiteketeza hii fifty wanyooshe vidole juu.
Ahsanteni sana.
Nimeshasema labda title ibadilike na kuwa "mmu man/woman of the year" ndo hawa jamaa wanaweza kuwa "washindi", lakini kwa jinsi ilivyo haiwezekani...ni ushindi wa kupeana tu kisa ni fulani.Kiongozi najua hukustahili hii tuzo, na wewe unalitambua hilo.
Unafahamu kwamba umetumia ubabe wa kuwatisha na kuwashurutisha wajukuu zako wakakupigia kura kwa wingi, tena nimefahamishwa kwamba uligawa kadi za mwaliko wajukuu wote hata wale waliokuwa likizo waje kukupigia kura.
Kwakuwa umefanikiwa kushinda kwa kutumia mbinu mbadala, basi nakupongeza kabisa kwa dhati huku nikutahadharisha mwaka mwingine usirudie kucheza rafu nje ya uwanja kama mwaka huu.
Btw, Honestly nakupongeza kwa dhati kabisa mkuu kwa heshima hii uliyojipatia hapa JF, bila shaka hata familia yako inafurahia kuwa na mlezi kama wewe.
Respect sana kiongozi.
ODM Likes thiskwanza kanigongee like bwana babu!
hehehe io 50 haitoshi bado wadai madeni dah! siamnin kama ilishinda baa kweli mmh.
Mmmwwaaa!love u too
Will you marry me?Babu ODM, asante kwa kutambua uwepo wangu.
Mie tena, kongosho asali ya babu, ila ilikuwa famili matter.
BTW, umenichekesha sana, kumbe na wewe maneno hamna bora manamba? Dah basi hili litakuwa tatizo la kitaifa lol
Well said. Yaani umemwaga mapointi kama Mizengo Pinda.Huyu jamaa hawezi kuwa "JF man of the year" labda ubadili hiyo title iwe "mmu man of the year" lakini kwa jf yote no. Ana mchango gani kwenye majukwaa mengine zaidi ya humu mmu? You guys are not serious!
Kama walivyo Watanzania wengine wakati wa Uchaguzi Mkuu, hamtaki kushiriki kwenye Uchaguzi japo Thread zimekuwa hapa 1-2 weeks. Washindi wakipatikana kihalali mnaanza kulalamika.
Subiri uchaguzu ujao Mkuu wa 2012 utampigia unayetaka au hata kumfanyia kampeni.
QED
Yaani wewe, hebu jichagulie mjukuu wangu mmoja aliye bikira nikuzawadie tena bila mahari.Kiongozi najua hukustahili hii tuzo, na wewe unalitambua hilo.
Unafahamu kwamba umetumia ubabe wa kuwatisha na kuwashurutisha wajukuu zako wakakupigia kura kwa wingi, tena nimefahamishwa kwamba uligawa kadi za mwaliko wajukuu wote hata wale waliokuwa likizo waje kukupigia kura.
Kwakuwa umefanikiwa kushinda kwa kutumia mbinu mbadala, basi nakupongeza kabisa kwa dhati huku nikutahadharisha mwaka mwingine usirudie kucheza rafu nje ya uwanja kama mwaka huu.
Btw, Honestly nakupongeza kwa dhati kabisa mkuu kwa heshima hii uliyojipatia hapa JF, bila shaka hata familia yako inafurahia kuwa na mlezi kama wewe.
Respect sana kiongozi.
Mkuu hebu soma vizuri hii certificate halafu linganisha na title zako ref. awards.Kama walivyo Watanzania wengine wakati wa Uchaguzi Mkuu, hamtaki kushiriki kwenye Uchaguzi japo Thread zimekuwa hapa 1-2 weeks. Washindi wakipatikana kihalali mnaanza kulalamika.
Subiri uchaguzu ujao Mkuu wa 2012 utampigia unayetaka au hata kumfanyia kampeni.
QED
Yaani wewe, hebu jichagulie mjukuu wangu mmoja aliye bikira nikuzawadie tena bila mahari.
Sasa mkuu,
"JF man of the year" halafu kura zinapigiwa mmu?
Ndo maana nikakwambia badili hiyo title.
Wewe bwana kazi yako ni kunitajia mmoja kama anastahili nakusevia. Kama hakufai nakwambia.Ha ha haa, Kiongozi twende taratibu, kuna taakuukuu I mean Takukuru humu JF wasije wakaku arrest kwa kunitangazia dau(rushwa) la mjukuu hapa JF.
Lakini nimekumbuka, bado wako busy na mgomo wa madaktari, we nikabidhi tu mjukuu mmoja unayempenda sana kuliko wote, na ambaye ni mtiifu kuliko wote tumalize shuhuli kabla hawajavamia jukwaa!!
We bwana we uchaguzi umeisha....Ungeweka Jukwaa gani? Siasa? Uchumi? Michezo? Mchanganyiko?
Ungekuwa na subira kupitia threads kama nilivyoomba hapo juu ungekuta maswali yako yote yana majibu.
1. Kura Za Maoni: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
2. Upigaji Kura: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/230010-polls-jf-man-of-the-year-2011-a-6.html
Wee bana wewe. We uje JayJay pale nikutwange biya kazaa na mdudu nusu kilo. Wajukuu ni mali ya Babu peke yake.Hongera babu .................sasa nigawie mjukuu mmoja wa kike tafadhali!
Ungeweka Jukwaa gani? Siasa? Uchumi? Michezo? Mchanganyiko?
Ungekuwa na subira kupitia threads kama nilivyoomba hapo juu ungekuta maswali yako yote yana majibu.
1. Kura Za Maoni: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
2. Upigaji Kura: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/230010-polls-jf-man-of-the-year-2011-a-6.html
hehehehe kupendwa na babu raha wenye wivu wajinyongelol! Love you more sweet babu lol
We bwana we uchaguzi umeisha....
Leta hela hiyo nikalipie deni la ulabu.