Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
Wana JF naombeni ushauri kuhusiana na hizi course za ABE ( association of business executives) na jinsi gani zinavyoweza kuapply katika soko la ajira.
Najaribu kufanya utaratibu wa kujiunga ili niweze kufanya mitihani yao mwezi december mwaka huu.
Naona wanatoa mapaka Postgraduate ya Business Management mimi nataka nianze na Advanced Diploma au Higher Dipolma of Business Management.
Najaribu kufanya utaratibu wa kujiunga ili niweze kufanya mitihani yao mwezi december mwaka huu.
Naona wanatoa mapaka Postgraduate ya Business Management mimi nataka nianze na Advanced Diploma au Higher Dipolma of Business Management.