Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,337
- 17,860
Wadau naomba munijuze CV ya huyu askofu mkuu wa kanisa la Kianglikana nchini kwani namuona kama anaeitst religious dictator. Ukienda Dodoma kuna fukuto Kati ya pande mbili zinazotofautiana kiitikadi. Huko Ukonga analazimisha waumini waongozwe na mchungaji waliyemkataa. Juzi kule Arusha amemsimika Askofu Stanley Hotay ambaye licha ya waumini kumkataa lakini vilevile Mahakama kuu imeweka pingamizi.
Ingawa Mimi si muanglikana lakini kama mkristu naguswa na utendaji wa kibabe wa huyu mtu anayeitwa Dr Valentine Mokiwa. Wadau naomba michango yenu
Ingawa Mimi si muanglikana lakini kama mkristu naguswa na utendaji wa kibabe wa huyu mtu anayeitwa Dr Valentine Mokiwa. Wadau naomba michango yenu