NusuMutu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 421
- 87
Nadhani bila kujali imani ya kila mmoja wetu,suala la kupata katiba bora ni la manufaa kwa Tanzania na vizazi vyetu. Hili litawezekana kama process yote ya kuitafuta haitakuwa ya 'kiujanja ujanja'. Baadhi ya Viongozi ni WATU HATARI.
Ni watu wenye uchu wa mali,umaarufu na madaraka. Wapo tayari kutokemea uovu ili wasiwaudhi wanaotoa hela nyingi za sadaka na michango mikubwa kwenye harambee....LORD JESUS ndivyo alivyofundisha hivi? Shame on them! ASKOFU TAPELI ATAWEZAJE KUKEMEA UTAPELI? Mwenye dhambi,shauri lenye dhambi hawezi kuliamua.
Tunaomba viongoz wa dini wafanye kaz zao za 'kuokoa roho za waovu' na si kujikomba kwa watawala na kujilimbikizia mali kutoka kwa waumini maskini wasio na hatia
Ni watu wenye uchu wa mali,umaarufu na madaraka. Wapo tayari kutokemea uovu ili wasiwaudhi wanaotoa hela nyingi za sadaka na michango mikubwa kwenye harambee....LORD JESUS ndivyo alivyofundisha hivi? Shame on them! ASKOFU TAPELI ATAWEZAJE KUKEMEA UTAPELI? Mwenye dhambi,shauri lenye dhambi hawezi kuliamua.
Tunaomba viongoz wa dini wafanye kaz zao za 'kuokoa roho za waovu' na si kujikomba kwa watawala na kujilimbikizia mali kutoka kwa waumini maskini wasio na hatia