Askofu: Siasa vyuoni hatari

Nimemwelewa sana kuwa Ridhiwani kazidi kuchochea wanavyuo, Baba Askofu anasema siasa vyuoni hazifai yeye ndio kwanza anasema wazidi kufungua matawi vyuoni, kati ya mimi na wewe nani mnafiki.
Unafiki tena umetoka wapi? Acha kumuwekea Baba Askofu maneno Mdomoni ambayo ajasema! Baba Askofu aogopi mtu yoyote yeye ni mtumishi wa mungu na ni msomi makini hayo maneno unayosema wewe si yake! Kwa hiyo wananchi waache kufata maneno ya Baba Askofu tufate porojo zako, hii haiwezekani ata kidogo sisi tunafata maneno ya kiongozi wa dini mpenda Amani Baba Askofu
 
Unafiki tena umetoka wapi? Acha kumuwekea Baba Askofu maneno Mdomoni ambayo ajasema! Baba Askofu aogopi mtu yoyote yeye ni mtumishi wa mungu na ni msomi makini hayo maneno unayosema wewe si yake! Kwa hiyo wananchi waache kufata maneno ya Baba Askofu tufate porojo zako, hii haiwezekani ata kidogo sisi tunafata maneno ya kiongozi wa dini mpenda Amani Baba Askofu

angalia ndumila kuwili huyu ..... juzi alikuwa nalia lia na kupinga kuhusu CDU na ukristo leo anasema ana support Baba askofu ...... mchochezi mkubwa wewe

JF hate preacher
 
angalia ndumila kuwili huyu ..... juzi alikuwa nalia lia na kupinga kuhusu CDU na ukristo leo anasema ana support Baba askofu ...... mchochezi mkubwa wewe

JF hate preacher
Umewaona hawa jamaa bendera fuata upepo leo Askofu mzuri kesho mbaya vile vile leo wanatetea Ridhwani kufungua matawi vyuoni kesho Chadema wakifungua inakuwa uchochezi.
 
Umewaona hawa jamaa bendera fuata upepo leo Askofu mzuri kesho mbaya vile vile leo wanatetea Ridhwani kufungua matawi vyuoni kesho Chadema wakifungua inakuwa uchochezi.

haya majitu sasa umefika wakati wa kuyapuuza tu ..... hata uchochezi haufanywi kipuuzi namna hii ....... very illogical themes
 
Unafiki tena umetoka wapi? Acha kumuwekea Baba Askofu maneno Mdomoni ambayo ajasema! Baba Askofu aogopi mtu yoyote yeye ni mtumishi wa mungu na ni msomi makini hayo maneno unayosema wewe si yake! Kwa hiyo wananchi waache kufata maneno ya Baba Askofu tufate porojo zako, hii haiwezekani ata kidogo sisi tunafata maneno ya kiongozi wa dini mpenda Amani Baba Askofu
Askofu kasema wanafunzi wazingatie masomo Ridhwani anawahimiza wafungue matawi vyuoni ni maneno gani nimewawekea.
Cha msingi ni sisi tuangalie kati ya hao maneno yapi ni ya busara.
 
angalia ndumila kuwili huyu ..... juzi alikuwa nalia lia na kupinga kuhusu CDU na ukristo leo anasema ana support Baba askofu ...... mchochezi mkubwa wewe JF hate preacher
Naona unaongea Crackpot mimi sio Irreligious kama wewe sipingi kila kitu kutoka kwa Wakiristo kwa ili nipo pamoja na Baba Askofu. Sasa sijui kwa nini unakuwa mkali povu linakutoka unaniita mchochezi mkubwa!
 
Tatizo ni mgawanyo wa muda, huwezi tumikia mabwana wawili kwa pamoja, wabukue kwanza siasa baadae.

Eng. SALUFU

enzi zile ukiwa darasa la sita ulifundishwa katiba ya Chama Cha Mapinduzi katvika somo la siasa na pia ukifika form six ulikabidhiwa kadi chama cha mapinduzi kabla ya kujiunga na JKT


Je wakati ule muda ulikuwepo ?


nadhani muda wa kuwapotosha watanzania umeshapita ...... watvanzania hawadanganyiki tena
 
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha (Katoliki) Mhashamu Josephat Lebulu amesema ushiriki wa wanafunzi wa vyuo vikuu na shule za sekondari katika vyama vya siasa nchini ni hatari na kuwataka wanafunzi hao wazingatie masomo yaliyowapeleka vyuoni na katika shule hizo. Aliyasema hayo jana katika mahafali ya wahitimu 197 ambao ni madaktari, wauguzi na wataalamu wengine wa afya waliomaliza katika Chuo Kikuu cha Tiba cha KCMC cha Chuo Kikuu cha Tumaini.

Wakati huo huo Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi ya jumuiya ya vijana wa CCM (UVCCM), Ridhiwani Kikwete alikuwa mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kufungua shina la wakereketwa Ofisi ya Chama Njoro wilayani Moshi na kukabidhi kadi za wanachama wapya wa UVCCM na CCM zaidi ya 220 katika vyuo vikuu mbalimbali kikiwemo cha kumbukumbu ya Askofu Stephano (SMMUCO) Kampasi ya Moshi, aliwataka wasomi kufungua matawi ya vyama katika vyuo vyao, lakini pia kutumia fursa mbalimbali zinazoibuliwa ili kujipatia ajira ndani na nje ya nchi.

Kaazi kweli kweli viongozi wetu wataasa hadi wachoke wajue vijana tumedata.

Source: HabariLeo.

Rich-one ulisoma lini na umatafuta pesa lini na umekuwakuwaje tajiri wa kusimuliwa. na hizo ajira unazosema ziko wapi. tujulishe kwani vijana wamemaza vyuo vikuu kazi hamna, wanaishia kunywa piwa kwani hata hela ya pombe za dukani hawana.
 
Umewaona hawa jamaa bendera fuata upepo leo Askofu mzuri kesho mbaya vile vile leo wanatetea Ridhwani kufungua matawi vyuoni kesho Chadema wakifungua inakuwa uchochezi.
Mimi nawaheshimu viongozi wa dini sioni tatizo kufuata maneno ya Askofu, kama wewe unachagua viongozi wa dini wa kufuata ni wewe mimi tofauti kidogo na wewe,Askofu Josephat Lebubulu alichosema kwangu kina maana na mafundisho kwa wanafunzi, mimi sio Irreligious kama wewe
 
Eng. SALUFUenzi zile ukiwa darasa la sita ulifundishwa katiba ya Chama Cha Mapinduzi katika somo la siasa na pia ukifika form six ulikabidhiwa kadi chama cha mapinduzi kabla ya kujiunga na JKT Je wakati ule muda ulikuwepo ?nadhani muda wa kuwapotosha watanzania umeshapita ...... watvanzania hawadanganyiki tena
Kumbe na wewe uwa unakosea kuandika nilidhani ni sisi tu
 
Mimi nawaheshimu viongozi wa dini sioni tatizo kufuata maneno ya Askofu, kama wewe unachagua viongozi wa dini wa kufuata ni wewe mimi tofauti kidogo na wewe,Askofu Josephat Lebubulu alichosema kwangu kina maana na mafundisho kwa wanafunzi, mimi sio Irreligious kama wewe
Kwa hiyo tumpuuze Ridhwani kwa nguvu zote Ridhwani hatari sana anaingiza siasa vyuoni ashindwe tena alegee.
 
Unajua wanavyuo ni watu wazima kwa maana hiyo wanajua nini kilichowapeleka na
kuna baadhi ya vyuo vinafundisha somo la political science, kama chuo kimetenga darasa
kwa ajili hiyo vipi wanavyuo wakiwa na ofisi yao ku practise walichofundishwa.


Mkuu nadhani unaweka ushabiki mbele

kama ni practise binafsi ningependa nione haya na sio matawi ya CDM au CCM

  • tigo vodacom airtell wanafungua matawi ya telecommunicatin engineering vyuoni
  • IMMA wanafungua matawi ya sheria kwenye vyuuo
  • ITV,star TV wanaaza vituo vya media and mass communication vyuoni.
Hizi ndio career na dscpline ambazo ndio msingi wa elimu. Siasa sio cereer on its own. Hayo matawi ya siasa hayatakiwi

lakini ukweli unabaki kwa mtazamo wangu Politics za vyama zinatakiwa kuwa nje ya vyuo na mifumo ya elimu. Kama ni kujifunza kwa itendo kuna njia bora zaidi
 
Haya maneno aliosema Askofu, siasa vyuoni ni hatari, angesema Sheikh, CDM-kata-Jf, wangesema tatizo ni Shule tunashukuru Baba Askofu Josephat Lebulu, kasema ni msomi mzuri
Hayo ni maoni ya askofu.Hebu tufikirie kuhusu maisha yetu yamezungukwa na siasa,ndo maana tunasema A Human being is a political animal!unazungumziaje kuhusu somo la siasa mashuleni na vyuoni Civics,General Studies,Development Studies!ukianguka haya masomo huna chako!Vipi kuhusu bajeti ya nchi hususani ya elimu!lazima ijadiliwe na wasomi wetu!unyanyasaji wa vijana vyuoni je?kwa nini vijana wasihoji kama think tank yetu?wananchi wanaongelea siasa bila kujali ni lini na ni wapi!kwa sababu ni haki yao.Unasemaje wanafunzi wasijihusishe na siasa wakati kura wanapiga?acha vijana wafanye siasa wapendavyo huku wakifuata misingi ya siasa bora.Au kuhoji mambo ya msingi kabisa kama bodi ya mikopo kunyanyasa wanafunzi wa hali duni ni vibaya?La hasha!UDOM waligoma,bungeni ukawa ni mjadala mkali kwa wabunge wetu..hawa vijana walikuwa na haki ya kujibu kisiasa kwa sababu siasa inaongelewa popote!Au hatukumbuki vijana walivyonyimwa haki yao ya kikatiba ya kupiga kura wakiwa vyuoni mwaka uliopita kwa kuhofu kuwa wangeiadabisha serikali ya kidhalimu?Vipi kuhusu uongozi kama DARUSO,n.k hawapigi kampeni kama wabunge wetu wafanyavyo majimboni?je hawana wabunge na mawaziri?Mimi naona maisha bila siasa hayaendi.Hata kwenye familia zetu kuna siasa kwa mfano baba ndiyo rais wa familia mama ni first lady.Au labda wandugu nieleweshweni, nini maana ya SIASA?
 
Back
Top Bottom