Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,793
- 12,238
Kama si kwa mujibu wa mawazo yako, ni kifungu gani cha utaratibu wa Kanisa katoliki kinachompa Polycarp Pengo mamlaka juu ya Askofu wa Zanzibar.
Papa huteua makadinari katika nchi zote ambazo zina uhusiano na Vatican. Kwa kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania amboyo kwa mujibu wa taratibu za Vatican zinapaswa kuwa na Kadinari mmoja hivyo Pengo ana mamlaka na Zanzibar pia. Aidha Vatican ina uhusiano na Tanzania na siyo na Zanzibar kwa kuwa siyo Dola.