Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Zaidi miaka 20 iliyopita nilikuwa mwanafunzi mjini Arusha. Siku moja rafiki yangu alinishawishi tukamsikilize mzee Kulola viwanja vya Reli (au kitu cha kufanana hivyo). Mahubiri yalifanywa na yeye na mwanaye aitwaye Dan. Well, sikuamini nilichosikia.
Ilipofika mida fulani (yapata saa kumi na mbili jioni) watu wengi hasa wanafunzi walianza kuondoka kuwahi usafiri kurudi vyuoni/majumbani.....nimnukuu maneno aliyosema "Mlaaniwe wote mnaoondoka kabla sijamaliza....magari na mabaiskel yaingie mitaroni....mpatwe na ajali, magonjwa, msilale kwa amani nk nk nk..."
Basi mie nilichora mstari toka siku ile kutomsikiliza wala kutaka kusika chochote chenye kumhusu huyu mzee. Inaonekana ana ubnifsi, hasira na chuki. Bila shaka hawezi kutoka nje ya wigo huo. Hivyo nasikitika sana kusoma jambo lolote linalomhusu huyu mzee kama ilivyo leo
Ilipofika mida fulani (yapata saa kumi na mbili jioni) watu wengi hasa wanafunzi walianza kuondoka kuwahi usafiri kurudi vyuoni/majumbani.....nimnukuu maneno aliyosema "Mlaaniwe wote mnaoondoka kabla sijamaliza....magari na mabaiskel yaingie mitaroni....mpatwe na ajali, magonjwa, msilale kwa amani nk nk nk..."
Basi mie nilichora mstari toka siku ile kutomsikiliza wala kutaka kusika chochote chenye kumhusu huyu mzee. Inaonekana ana ubnifsi, hasira na chuki. Bila shaka hawezi kutoka nje ya wigo huo. Hivyo nasikitika sana kusoma jambo lolote linalomhusu huyu mzee kama ilivyo leo