Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Funua tujue maana wengi tunajua huyu mzee hayuko hivi hata kiimani.
mengine si ya kufunulia hapa jamvini, ni aibu. Mdau mmoja amesema si kila uzee ni Hekima.
Funua tujue maana wengi tunajua huyu mzee hayuko hivi hata kiimani.
Kweli kaka tunatakiwa tufungue macho, yaani kuomba na kufanya uchunguzi wa nini kingine zaidi ya maombi tunachotakiwa kukifanya kwa faida ya nci yetu sio kukaa kama mzuzu na kusubiri kiuambiwa cha kufanya na hawa mafisani wa makamnisaniNi muda sasa Watanzania tutambue kwamba matatizo yetu hayata tatuliwa kwa kupiga magoti na kusujudu tu. Jamani hard work is prayer in action. Hii mentality ya kudhani kila kitu kita kuwa sawa tu kwa kufumba macho na kukunja mikoni ndiyo ina tuponza.
Angalia historia yake na munishi....hapo ndio utaelewa somo.
itachukua miaka kukuelewa.
aliwataka wa-Tanzania kuacha kumlalamikia Rais kikwete pamoja na wasaidizi wake kutokana na maisha kuwa magumu badala yake tumgeukie Mungu
** Nimesoma kwenye vyombo vya habar Gazeti la nyakati toleo namba 139 la 29-05-2011 * kuwa Askofu kulola wakati wa sherehe ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake kuliongoza kanisa la EAGT,shrehe hiyo ilifanyika katika kanisa la EAGT-Siloam Ipagala Dodoma aliwataka wa-Tanzania kuacha kumlalamikia Rais kikwete pamoja na wasaidizi wake kutokana na maisha kuwa magumu badala yake tumgeukie Mungu.
** Jambo jingine aliwaasa viongozi wa madhehebu na viongozi wa vyama vya siasa waache kuwatumia wanavyuo katika migomo maana watatengeneza kizazi kitakachoichukia nchi na viongozi wake
** Kwa maoni yangu kauli yake hiyo haiwezi kupita bila kupingwa sababu Jk pamoja na serikali yake ndio waliotufikisha hapa Ufisadi,mikataba mibovu dhuruma kwa wananchi kuuawa wananchi na polisi wanaolipwa na kodi za wananchi kwa visingizio mbali-mbalina mambo mengine mengi tu.
** Kuhusu migomo vyuoni wakulaumiwa ni serikali ya Jk urasimu mpaka wanafunzi wanakosa haki zao za msingi kwa haya machache serikali lazima ilaumiwe Kama ni kumwomba Mungu yeye tayari alishatubariki na vitega uchumi vingi sana tatizo ni kwa Rais wetu na wasaidizi wake wameshindwa kusimamia raslimali za nchi yetu na kusababisha nchi yetu kuwa shamba la BIBI kwa wawekezaji.