Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Mfalme Daudi alimpofanya dhambi ya kumchukua Mke wa Uria, Mungu alimtuma Nabii Nathan akamwonye na Kumkemea, alipotoza kodi na wakusanya kodi wakawa wanakula hizo pesa za walalahoi (ufisadi) watumishi wa Mungu walimkemea kwa nguvu na kodi ikafutwa
Ujumbe mzito sana huu! Mkuu tunaomba ile avatar yako ya awali...asante!