Huyu Askofu siamini kama aliyosema ni kweli maana namjua ni mpenda pesa sana kuliko hata anavyompenda Bwana Yesu anayemhubiri, Kwanza yeye ni miongoni mwa mafisadi kwani ana uchafu mwingi wa kifisadi ndani ya kanisa hilo analoliongoza. Huyu hawezi acha hata 10,000/-
angezichukua,angewaita waandishi wa habari na kisha kuzipeleka kituo cha watoto yatima,kuwarudishia hizo pesa wahusika ni kuwajengea mazingira ya kumtafuta mtu mwigine wa kumpa hizo pesa ambazo ni haki yetu,
huyu kiongozi mpya anaweza kuwa Lipumba, mbona unahamaki? au huna imani na Lipumba mpaka unamuona ni yule mwingineau wengine.CCM mwaka huu watafulia, hizi ni kampeni makanisani...tatizo letu Watz tunajidai hatuna udini kumbe ndo namba moja!!!
mi nadhani tathimi hii angeitoa mkewe na siyo wewe, maana ni mtu wa karibu sana na tabza mumewe, samahani lakini hivi kwa alkili ikiwa hazijachakachuliwa, tuamini la kwako ama tumwamini yeye? hebu tusaidie,Huyu Askofu siamini kama aliyosema ni kweli maana namjua ni mpenda pesa sana kuliko hata anavyompenda Bwana Yesu anayemhubiri, Kwanza yeye ni miongoni mwa mafisadi kwani ana uchafu mwingi wa kifisadi ndani ya kanisa hilo analoliongoza. Huyu hawezi acha hata 10,000/-
angezichukua,angewaita waandishi wa habari na kisha kuzipeleka kituo cha watoto yatima,kuwarudishia hizo pesa wahusika ni kuwajengea mazingira ya kumtafuta mtu mwigine wa kumpa hizo pesa ambazo ni haki yetu,
Sasa gia yenyewe anayotumia kama ndio hiyo tutajuaje kama anazuga tu? Mtu mzima unapozungumza kitu inakubidi ukizungumze kikamilifu, sio nusunusu! otherwise sio wengine tutakuona joker tu.Unamaanisha aMENGIlize issue siyo? Yataka moyo mkuu, mapinduzi si mchezo